Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 29,020
- 40,792
aiseewamemtupa kama condom.
Ndio maana cna mpango wa kuenda kwa ngozi nyeupe,nachukiaa sana kubaguliwa naweza kumua mtu nikazikwa huko huko bila hata wanakijiji kujua,nitabaki kwa ngozi nyeusi na cna mpango wa kwenda huko hata kwa offer........maisha yenyewe mafupi alafu nibaguliwe ...no.no..no.Huyu mzee nina wasiwasi alipigwa kwa kufumaniwa maana hata juzi alikuwa anaongea kwa jeuri na kiburi wakati hali tete. Ana aina fulani ya ujivuni na ni wale watu ambao enzi zao walikuwa wasumbufu sana bar...Sasa Urusi siyo kwa mchezo mchezo mimi mwenyewe nina ngozi nyeupe lakini kule nilibaguliwa. Nakumbuka nilikuwa nikipanda treni kiti nilichokalia naachwa peke yangu labda akae muingereza au mjeruamani ila siyo mrusi...Wale jamaa ni wabaguzi, watemi niliwahi kutolewa nduki ndani ya shopping mall bila sababu yoyote ile waliingia tu vijana wakaniona acha waanze kinitoa nduki aisee acha. Ukiwa kule unahitaji discipline ya hali ya juu sana na kujishusha kuliko kawaida...ukikaa kishika shika na kujimwambafai kijinga unarudi ukiwa kipande cha mtu kama alivyo shika.
Atakuwa kalishwa sumuAnaumwa nini comedian wetu.
Sio wa kutibu watu au wanyama..Halafu jamaa professionally ni daktari kuna jamaa alisoma nae Russia akawa ananisimulia ukatuni wake tangu huko ughaibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee anaonekana hana damu mwilini..hakuna kingine zaidi! Anaonekana kuwa na damu kidogo sana kiasi kwamba inapata shida kutembea mwilini. Angalia alivyovimba miguuhuyu mzee nahis anasumbuliwa na ugonjwa wa ini au figo..namuona kavimba sana mwili
Tumchangia chochote sisi kama memba wa JF jukwaa la amani na upendo.
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE
serikali ya awamu ya tano imekwishatekeza hilo.Serikali ya eneo alipo ichukue hatua ya kumpeleka Hospitali ili apatiwe msaada wa kitabibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ugonjwa unatibika kweliMwenyewe kasema ugonjwa aliokuwa nao kitaalamu unaitwa DVT (Deep Vein Thrombosis), damu huwa inaganda kwenye baadhi ya maeneo ya mwili
Ukijishusha sana si watakutatua marinda mkuuHuyu mzee nina wasiwasi alipigwa kwa kufumaniwa maana hata juzi alikuwa anaongea kwa jeuri na kiburi wakati hali tete. Ana aina fulani ya ujivuni na ni wale watu ambao enzi zao walikuwa wasumbufu sana bar...Sasa Urusi siyo kwa mchezo mchezo mimi mwenyewe nina ngozi nyeupe lakini kule nilibaguliwa. Nakumbuka nilikuwa nikipanda treni kiti nilichokalia naachwa peke yangu labda akae muingereza au mjeruamani ila siyo mrusi...Wale jamaa ni wabaguzi, watemi niliwahi kutolewa nduki ndani ya shopping mall bila sababu yoyote ile waliingia tu vijana wakaniona acha waanze kinitoa nduki aisee acha. Ukiwa kule unahitaji discipline ya hali ya juu sana na kujishusha kuliko kawaida...ukikaa kishika shika na kujimwambafai kijinga unarudi ukiwa kipande cha mtu kama alivyo shika.
Nilifuatilia interview yake anasema eti hawezi kwenda hospital eti hawapo vizuri. Yeye yupo competent kuliko wao.Huyu mzee nina wasiwasi alipigwa kwa kufumaniwa maana hata juzi alikuwa anaongea kwa jeuri na kiburi wakati hali tete. Ana aina fulani ya ujivuni na ni wale watu ambao enzi zao walikuwa wasumbufu sana bar...Sasa Urusi siyo kwa mchezo mchezo mimi mwenyewe nina ngozi nyeupe lakini kule nilibaguliwa. Nakumbuka nilikuwa nikipanda treni kiti nilichokalia naachwa peke yangu labda akae muingereza au mjeruamani ila siyo mrusi...Wale jamaa ni wabaguzi, watemi niliwahi kutolewa nduki ndani ya shopping mall bila sababu yoyote ile waliingia tu vijana wakaniona acha waanze kinitoa nduki aisee acha. Ukiwa kule unahitaji discipline ya hali ya juu sana na kujishusha kuliko kawaida...ukikaa kishika shika na kujimwambafai kijinga unarudi ukiwa kipande cha mtu kama alivyo shika.
Ndio maana cna mpango wa kuenda kwa ngozi nyeupe,nachukiaa sana kubaguliwa naweza kumua mtu nikazikwa huko huko bila hata wanakijiji kujua,nitabaki kwa ngozi nyeusi na cna mpango wa kwenda huko hata kwa offer........maisha yenyewe mafupi alafu nibaguliwe ...no.no..no.
Sent using Jamii Forums mobile app