ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,310
- 4,040
Huyu jamaa kumbe yupo serious!!!
Ziara ya Waziri na Uwepo wa Shika is it coincidence? Majirani wanasema huwa wanamsaidia chakula, leo ana dola mia! Shija alirudishwa nchini 2004 leo ndo anafanya mchakato wa kutumiwa peaa zake! Hivi waandishi wa habari siku hizi hawana maswali au uwezo kufikiria umeshuka?
Nikipata nafasi ya kumuuliza Shika maswali, swali langu la kwanza kwake nitamuuliza mara ya mwisho alikuwa Urusi lini? Je, kampuni yake ipo hai au imekufa? Kama ipi hai nani anaiendesha? Kwa muda wote aliokuwepo hapa nchini amekuwa akifanya nini?
hilo la kudaiwa kodi ya nyumba lilikuja kukanushwa na hao hao waandishi MAKANJANJA.Nina mashaka sehemu moja hivi...wale wezi wa mtandao hawatumii bank ata siku moja mara nyingi wanatumia western unuion au njia nyingine kama hizo maana ukitumia bank ni rahisi kudakwa. Pili hizo dollar mia katoa wap wakati wanaomkejeli wanasema ata pesa ya kula hana ata kodi ya nyumba hana? Tusubirie kidogo tu
kwa kumsikiliza Dr shika na uwezo wake wa kuzungumza na experience aliyonayo ya kuishi nje ya nchi ni vigumu yeye kutapeliwa. Kuna jambo.Dah aisee sasa hawa matapeli wanaotumia bank nadhani wanajiamini sana mara matapeli wengi niwajuao wa kinaijeria hawatumii bank kufanya miamala
kama ni MoneygramSiyo bank mkuu soma form hiyo ni moneygram ambayo utaipata hiyo huduma kwenye mabank kama BOA, AZANIA, EQUITY, bank ya posta nakadhalika
Kuna kitu wameshajuaDr ameaminiwa na jeshi la polisi kiasi cha kuambiwa ajidhamini mwenyewe, wewe unayemchukulia poa yawezekana hata mwenye nyumba uliyopanga hawezi kukudhamini siku ukipatwa na maswaibu!!
Kumbe tunao ishi kwenye chumba kimoja na bafu la nje tunadharaulika hivi!!!lakini nakuhakikishia hata ukimiliki ghorofa kama la Lugumi bado utalala chumba kimoja
Bado unaamini Dr hapigwi?kama ni Moneygram
Shika ana hela karibia kila nchi
Huyu Dr na yule babu wa Loliondo ni sawa moja. Nashangaa wameweza kuwaokota na watu wenye akili na elimu yao!Yani nashangaa ambao bado hawajaona dr alivyopigwa.
Bima ya millions of dollars unailipia Bima cia moneygrm wakati hiyo ela itapita bank?
Na bado watu wanaona dr kaula.
isiwe mafisadi wanataka kurudisha hela kupitia huyo dr wenu, maana wameona za bongo zimekazwa sasa wakatafuta namna ya kurudisha. siku zote alikuwa wapi hadi asubiri mnada?
KabisaBima ya $10m ni dola 100? Wanaijeria washa fanya yao
Afadhali apate pesa huyu mzeesina hakika kama amekopa leo nimeona mahali akiingia mkataba wa matangazo na kampuni Fulani