Dr Samuel Mnzava ni Tapeli - Jihadharini!!

Dr Samuel Mnzava ni Tapeli - Jihadharini!!

Uswe

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
2,204
Reaction score
627
Kuna Jamaa anajiita Dr Samuel Mnzava, aliweka matangazo ya kazi na baadae ametumia watu email inayosomeka hivi:

Dear Sir/Madam,

Kindly be informed that we are a newly TCU registered university in Tanzania located at Kimara Mwisho along Morogoro road - Dar es Salaam, on the due reason that we don't have our own staff we have decided to hire interview panel to sanction the recruitment exercise. For that reason you are asked to deposit the T.shilling twenty thousands a non refundable as interview fee to TANZANIA INTERNATIONAL UNIVERSITY at CRDB Bank, Account No: 0150315938200,

Please send/bring the copy of your Bank slip to TIU Main Campus- Kimara or email to: smnzava@yahoo.com

we thank you again for showing interest to work with TIU.

With Regards,

Dr. Mnzava, PhD
VICE CHANCELLOR - TIU


Maswali ya kujiuliza
1. wapi umewahi kusikia mtu anayetafuta kazi analipishwa 'interview fee'

2. Kama hana pesa ya kulipa hao interviewers, Je atapata wapi pesa ya mshahara? si ataandika email nyingine kwamba ukadeposit kwenye account yake ili apate pesa ya kukulipa?

3. Jamaa yuko na email ya yahoo???? tena kufanya mambo serious hivi? huko tulishahama zamani, ni dalili ya mtu cheap cheap na mzushi

Jamaa yuko katika 0767-011344 , cha ajabu hii simu iko hewani! i bet ataizima baada ya mpunga wa kutosha kuingia bank
 
Kakutapeli nini? Mbona unabwabwaja tu hapa. Tuhakikishie utapeli wake basi.
 
Nawe mbona uko hivyo. Huyu anawatahadhalisha watu, wewe unasema anabwabwaja. Tumia lugha nzuri basi. Tumeona DECI, BijaMpola etc, hivyo kuwatahadhalisha watu ni sahihi!

Duniani kuna watu aina nyingi!
 
Kama una ushahidi wa kutosha basi taarifa hizi usisite kuzifikisha kwa Wazee wa Feva pia...
 
Huyu jamaa kaweka nliona email yake niliiona Tanzania International University

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Hey Friends naomba kuuliza swali..............hivi siku hizi interview zinalipiwa jaman?? Soma hapo chini wamenitumia hyo e-mail

TANZANIA INTERNATIONAL UNIVERSITY

P.O. BOX 9858, Tel: +255 767 011344

DAR ES SALAAM

TANZANIA - EAST A

E-mail: smnzava@yahoo.com Website: www.tiutz.com

Dear Sir/Madam,
Kindly be informed that you have been short listed for the post you applied,
However, we are a newly TCU registered University in Tanzania, located at Kimara Mwisho, Bonyokwa street, along Morogoro road - Dar es Salaam. On the due reason that we don't have our own staff we have decided to hire interview panel to sanction the recruitment exercise. For that reason you are asked to deposit the T.shilling twenty thousands a non refundable as interview fee to TANZANIA INTERNATIONAL UNIVERSITY at CRDB Bank, Account No: 0150315938200, Please send/bring the original copy of your Bank slip to TIU Main Campus- Kimara Mwisho or email to: smnzava@yahoo.com Note that: you shall be informed the date of interview.

We thank you again for showing interest to work with TIU.

With Regards

Dr. Mnzava, PhD
VICE CHANCELLOR - TIU
 
Duh mbona wanataka kutajirika mapema imagine wakishotlist wa2 mia tano kwa 2 post
 
Mh hii sijaipata frsh japo jengo la hiki chuo lipo jirani na kwangu wacha ntaingia chimbo nijue kama ni kweli
 
Chuo chenyewe kinaonyesha nicha kifisadi na elimu yake itakuwa ya kifisadi
 
Huyu jamaa kaweka nliona email yake niliiona Tanzania International University

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Na namba yake 0767-011344 iko hewani na nimatest kwa mpesa ni Dr. Samwel Mzava!!! Ila kweli ni uhuni!! Hebu wenye nafasi wafikishe hii issue polisi!! Je kuna Tanzania International University Kimara? Sijawahi kuisikia kamwe!! Ona jinsi ambavyo mtu anaweza kujisajili mpesa kwa jina fake na id fake!! Ha ha ha!!! Matapeli ni wasomi wa PhD kabisa!
 
Kakutapeli nini? Mbona unabwabwaja tu hapa. Tuhakikishie utapeli wake basi.

Swali la msingi la bishankara ni kuwa utapeli wa huyu dr uko wapi? maelezo yanayotolewa na wachangiaji wengi hayajibu swali hili. Ushauri wangu ni kuwa katika kuthibitisha kama kweli huyu dr ni tapeli ni vyema wahusika wote (walioitwa kwenye interview) wakafika pale TIU ili kuthibitisha kama hiki kitu kipo au la kwani kama ni uongo inaharibu sifa ya chuo. I believe chuo (TIU) kitakuwa kimepata taarifa hizi kupitia mtandao huu kwani si mara ya kwanza kuona post ya aina hii humu JF.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom