Dr. Salim: The Conspiracy ..&.. Dataz!

Wengi tulitarajia Msekwa angemsaidia sana JK ndani ya CCM. Hali ilivyo leo ni afadhali na ya jana. Msekwa ni mhafidhina wa kutupwa na anaivuruga zaidi CCM. SAS kuwa makamu wa Rais nako hakutaisaidia sana Nchi yetu. Amechoka. Alisulubiwa sana 2005. Wazee wetu hawa walitufaa sana wakati huo. Sio sasa.
 
Really?
Is SAS bigger that his motherland Zanzibar? Are we serious? Not sure!
Ninachojua SAS aliwahi kuteuliwa barozi na uwaziri, na baadaye kupendekezwa na Mwalimu Nyerere kuwa Katibu Mkuu wa OAU.
Kote alikopita hakuwahi kuonyesha uongozi wa aina yoyote. Nasema mwenye ushahidi aseme 'legacy' ya uongozi wa SAS nini?
Bora hata Mrema (police posts), na Maalim Seif (CUF) wana legacy, lakini siyo SAS!
Msipoteze muda wa Watanzania, SAS is finished; alishindwa kuonyesha uongozi OAU. He is indecisive, period! Ameshindwa hata ku-raise profile ya MNF! SAS only banks on the history of being merely lucky, in the past; a young diplomat, UN SG contestat (1981) handsome PM (1984-1985), deputy PM and defense minister (1986-1990), OAU SG 1991-2002). Hizo zote zilikuwa juhudi za Nyerere. Hata hivyo hakuna mahali alipoteuliwa aliweza ku-excel. Mzigo tulioubeba kwa Kikwete unatosha, wapo watanzania wengine wenyeuwezo kuongoza Tanzania; tuwape nafasi watuongoze. Tunachotakiwa kufanya ni kupigania mfumo utakaotuwezesha kukamua wagombea hadi tumpate mtanzania mwenyeuwezo kuliongoza taifa letu. Explore outside the Box; CCM box!!!
Kuwa SG wa OAU kutoka 1991 mpaka 2002,maana yake ni kuwa SG for three consecutive terms.Kumbuka huyu mtu alichaguliwa na watu wenye "akili zao" wenye uwezo wa kusema hapana kama mtu ameshindwa ku-deliver,siyo wale "watu wa pale Chimwaga".

Recently TZ ilikuwa na yule mama pale bunge la Afrika kama Spika,alishindwa ku-deliver "wenye akili zao" wamemwondoa.

Hivyo kuwa kiongozi wa OAU siyo jambo dogo mkulu, kama unavyojaribu kuliwasilisha hapa.Hilo peke yake linampa mtu nafasi ya kujua matatizo mbalimbali ya nchi za kiafrika.Kwa jinsi hiyo, ameona mengi na tunatarajia amejifunza mengi kwani ni mtu anayependa kujifunza, rejea CV yake,he was a mere form IV leaver, alipokuwa balozi Egypt lakini leo hii CV yake inapendeza sana kuisoma.

Lakini bahati mbaya nchi hii imelaaniwa, watu makini na wenye uwezo, HAWAKUBALIKI.
 
610x.jpg

Dr Salim akiwa na raisi wa zamani wa Ireland mama Mary Robinson kwenye mkutano na waandishi wa habari mjini London mwezi ulopita.

Dr Salim siku zote huonekana anawazia jinsi ya kuiendeleza Tanzania iwe nchi yenye neema inayozungumzwa kila kukicha na wanasiasa wasio-deliver wasemayo.

Mawazo yangu ni kwamba Dr Salim na Dr Shein wawe viongozi wa Tanzania.
 
Kuwa SG wa OAU kutoka 1991 mpaka 2002,maana yake ni kuwa SG for three consecutive terms.Kumbuka huyu mtu alichaguliwa na watu wenye "akili zao" wenye uwezo wa kusema hapana kama mtu ameshindwa ku-deliver,siyo wale "watu wa pale Chimwaga".

Recently TZ ilikuwa na yule mama pale bunge la Afrika kama Spika,alishindwa ku-deliver "wenye akili zao" wamemwondoa.

Hivyo kuwa kiongozi wa OAU siyo jambo dogo mkulu, kama unavyojaribu kuliwasilisha hapa.Hilo peke yake linampa mtu nafasi ya kujua matatizo mbalimbali ya nchi za kiafrika.Kwa jinsi hiyo, ameona mengi na tunatarajia amejifunza mengi kwani ni mtu anayependa kujifunza, rejea CV yake,he was a mere form IV leaver, alipokuwa balozi Egypt lakini leo hii CV yake inapendeza sana kuisoma.

Lakini bahati mbaya nchi hii imelaaniwa, watu makini na wenye uwezo, HAWAKUBALIKI.

Ni bahati mbaya sana kuwa wewe ni miongoni mwa watanzania wasiokuwa na uangavu wa kutosha juu ya uhusiano uliopo kati ya uwezo wa kiongozi wa kisiasa na matakwa ya maisha yao. Tunatakiwa kujitambua, kama umma, nini matakwa yetu ya maendeleo dhidi ya uwezo wa kiongozi husika. Hapa hatupashwi kuongozwa na ushabiki wala parochial expectations. Somo alilotupatia Kikwete linatosha.

SAS hana uwezo wowote wa kuleta mabadiliko yoyote. Tanzania inahitaji mabadiliko makubwa takribani katika mfumo wa uongozi na utendaji wa dola. Maji haya SAS hawezi kuyaoga; yamekwisha mshinda. Kama kweli tunatambua matakwa yetu ya maendeleo let's extend our horizon; nje ya box la CCM!

SAS ni mwoga (ndio maana hana legacy yoyote katika utumishi wake) wa kufanya makosa; huyo hatufai! Yeye antaka ateuliwe; anaogopa kujaribu asije kuaibika iwapo atashindwa. Mtu anaye mwogopa hata Mzee Joseph Butiku, na hatimaye kushindwa kuiongoza MNF, atawezaje kuiongoza Tanzania na watu wake milion 45 (projection)?

SAS kukaa muda mrefu OAU ilitokana na sasabu ya kuwa asasi hiyo ilikuwa haikuwa na uwezo wowote wala mwelekeo mara baada ya kuisha harakati za ukombozi ambao ulikuwa mradi wake mkubwa. OAU liliendelea kuwapo kama dude tu lisilokuwa na influence yoyote katika siasa za kimataifa na diplomasia. OAU was merely a static but demolishing institution; nothing real was moving in the OAU. Ni bahati kwamba wakati huo nchi nyingi zikikuwa zimejikita katika migogoro yake ya ndani.

SAS ameshindwa hata kuonyesha cheche kuwashawishi CCM wenzake ili wamteue kugombea urais mwaka 1985, 1995 na 2005! Sasa kama wenzake CCM wamemtema mara zote hizo wewe unataka wa nini? Ni mzigo, waulize waliofanya naye kazi Adis OAU HQ.

Watanzania wengi wenye mawazo mapya na uwezo wa kuhamasisha watu kupanga na kusimamia mpango wa mabadiliko ya maendeleo ya nchi yao wako nje ya CCM. Tupiganie namna ya kuwapata, Tuache siasa za 'mjomba akipata urais poa'.
Tubadilike dunia imebadilika! Tusisubiri kuja kulalamika, maana majuto ni mjukuu!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mawazo yangu ni kuwa Salim is better off, asipoingilia siasa za Bara au Zanzibar, watamchafua chafua na kumwaga chini. He is much much better to stay off.
 
Back
Top Bottom