Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,301
- 2,076
Basi hiyo zawadi Kikwete aiote tu, hataipata katu.
JK anayake special and it pays much....MODowans!
Basi hiyo zawadi Kikwete aiote tu, hataipata katu.
Jamaa ni kichwa na anaheshimika sana kwenye Jumuiya za Kimataifa. Ni CCM pekee haithamini na kuheshimu kipaji chake!!
Hongera sana Dr. S.A.S
Mtu yoyote mwenye P.hD ya kusaka mwenyewe bila kutafutiwa Data ni kichwa. Check Silaa, SAS na Magufuli. Ila serikali yetui haiwakubali kabisa inakumbatia mahonorarial P.hD. Inasikitisha sana jinsi taifa linavyoelekea.
SAS songa mbele, mtandao wa 2005 ulikupaka matope ila sasa unatoka, endelean na Mungu hana hiyana utakula kivulini.
Uwezo wa Salim kiuongozi unatambuliwa na watu wanaojua uongozi wa umma. Baada ya Nyerere, hakuna liyebaki huko kwenye uongozi wa CCM anayeweza kutambua uwezo wa Salim. By inference, nadhani unaweza kuhua ni nani waliobaki kwenye uongozi wa CCM.ccm haipendi watu makini na wenye uwezo kama SAS
Hivi kwa nini CCM hawaheshimu mchango wa jamaa hasaa kwenye ule uteuzii wao wa 2005??
SAS na Mo ni kama RA na Al Adawi wa DOWANS. Wengi hili hawalijui.Hongera sas!!!! lakini mo na salim ni marafiki kuna wakati mo alipokuwa mmiliki celtel salim alikuwa mwenyekiti wa bodi ya celtel kwahiyo hawa watu wanajuana siku nyingi
Kwanini 2005 CCM walimpa Mkwere? Tunaacha viongozi tunachukuwa Mafisadi VERY SAD
Hongera Dr. Waukweli S.A.S
Mchakato wa Urais mwaka 1985 anayeweza kuuelezea vizuri ni JS Warioba na Getrude Mongela. SAS aliitwa tena mwaka 1995. Akadengua. Baada ya kifo cha Mwalimu mwaka 1999, nyota ya SAS nayo ilipotea kabisa. Mwaka 2005 alikosea kuchukua fomu huku akijua hana mtu kama Mwalimu ndani ya CCM na wanavisasi wa Zanzibar.Wewe hujui? Dr SAS ni mhanga wa ukabila na udini. Hukumbuki mwaka 1985 na 2005 alipojaribu kugombea Urais alipachikwa UKABILA (eti ni mwarabu, mara ooo hizbu, mara ni muOman). Na wahariri wa magazeti ya bongo wakafanya biashara ya kuuza magezi kwa ku-publish ujinga huo. 2005 yaleyale yaliompata 85 yakamdondokea kwa nguvu. Mapadre wakasema SAS hapana, chaguo la Mungu ni JK.
Jamani, ukabila na udini unaitafuna nchi.. hamuoni?
Nachikia tabia hii.