Dr. Ray Simon Mpina (surgeon) afariki dunia

Dr. Ray Simon Mpina (surgeon) afariki dunia

nuruyamnyonge

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2014
Posts
4,439
Reaction score
2,287
Habari za leo ndugu jamaa na marafiki wa jf na poleni kwa huu msiba mkubwa.

Nimesikia taarifa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Dr.Ray kafariki dunia akiwa jijini Dar.mwenye kufahamu vizuri kifo chake kimetokea vipi na maeneo gani hapa Dar utujuze maana tumepokea msiba kwa mshituko mkubwa kila mtu anajiuliza imekuwaje imekuwaje!

Dr.Ray alifanya internship Bugando hospital na baadae akafanya MMED(surgery) Bugando na kwa sasa nasikia aikuwa hospital ya Butimba.
R.I.P Dr.Ray Simon Mpina.
 
Surgeon,.. Dah!! Tumempoteza mtu muhimu sana! R.I.P Dr. Ray
 
Kuna tetesi kuwa amefia hotelini jamani tupeni uhakika.
 
Kifo ni kifo haijalishi wapi kimetokea

Sawa Manosa ila huyu Dr alikuwa kijana sana na alikuwa habaguwi mgonjwa watu wanasema jumamosi aliwaaga marafiki zake anakwenda dar hivo inachanganya sana.
 
Nasikiaa kajidunga madawa ya kulevyaaaaa kazidishaa doziiiiii r.i.p doktaa
 
Habari za leo ndugu jamaa na marafiki wa jf na poleni kwa huu msiba mkubwa.

Nimesikia taarifa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Dr.Ray kafariki dunia akiwa jijini Dar.mwenye kufahamu vizuri kifo chake kimetokea vipi na maeneo gani hapa Dar utujuze maana tumepokea msiba kwa mshituko mkubwa kila mtu anajiuliza imekuwaje imekuwaje!

Dr.Ray alifanya internship Bugando hospital na baadae akafanya MMED(surgery) Bugando na kwa sasa nasikia aikuwa hospital ya Butimba.
R.I.P Dr.Ray Simon Mpina.


ni kweli dr ray kafariki,akiwa dar kikazi katika moja ya hotel aliyofikia.

alikuwa daktari bingwa wa upasuaji( general surgon).
 
ni kweli dr ray kafariki,akiwa dar kikazi katika moja ya hotel aliyofikia.

alikuwa daktari bingwa wa upasuaji( general surgon).

Daah!!! Alikuwa jembe sana RIP Dr.Ray Daah!!
 
May his soul rest in heavenly paradise!!!
 
Nasikiaa kajidunga madawa ya kulevyaaaaa kazidishaa doziiiiii r.i.p doktaa

Duuu dr anajidunga sindano ili afe ? Kutakuwa kuna tatizo lilikuwa linamkwaza mpaka afikie uamuzi huo ila madawa mengi ya mahosp hayana tofauti na madawa ya kulevya ndo maana cough syr nyingi zinalewesha na kama alikuwa surgeon yale madawa yatakuwa wanayochanganya yanawaharibu unajikuta unayatumia bila kutaka.
 
Duuu dr anajidunga sindano ili afe ? Kutakuwa kuna tatizo lilikuwa linamkwaza mpaka afikie uamuzi huo ila madawa mengi ya mahosp hayana tofauti na madawa ya kulevya ndo maana cough syr nyingi zinalewesha na kama alikuwa surgeon yale madawa yatakuwa wanayochanganya yanawaharibu unajikuta unayatumia bila kutaka.

Yap habari ndio hiyoo
 
Soma vyama, umeambiwa kajidunga dawa za kulevyaa

Duuu dr anajidunga sindano ili afe ? Kutakuwa kuna tatizo lilikuwa linamkwaza mpaka afikie uamuzi huo ila madawa mengi ya mahosp hayana tofauti na madawa ya kulevya ndo maana cough syr nyingi zinalewesha na kama alikuwa surgeon yale madawa yatakuwa wanayochanganya yanawaharibu unajikuta unayatumia bila kutaka.
 
Sawa Manosa ila huyu Dr alikuwa kijana sana na alikuwa habaguwi mgonjwa watu wanasema jumamosi aliwaaga marafiki zake anakwenda dar hivo inachanganya sana.

Poleni sana,taifa limepoteza mtu muhimu sana
 
R.I.P dr. Manpower kijana imepotea
 
Dah..mi nikifikiria issue kama hii ndo nachoka kabisa...Alikua surgeon probably ka spend kama 30 years hivi akihakikisha anapata hiyo career then within 2 au 3 years ya kuifanyia kazi....anakufa.energy spent,time,money and all other sacrifices all to waste...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom