Dr, Prof. Msomi asienukuu maandiko yeyote.

Dr, Prof. Msomi asienukuu maandiko yeyote.

Mjomba wa taifa

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2012
Posts
231
Reaction score
161
Nimejitahidi sana kufuatilia hotuba za marais mbalimbali duniani waliopita na waliopo madarakani. Zaidi ya hapo nimejitahidi kufuatilia maongezi mbalimbali ya wasomi mbalimbali duniani nimegundua kuwa katika kujenga hoja mbalimbali wamekuwa wakitumia mifano mbalimbali ya matukio ya nyuma, maandiko ama tafiti mbalimbali zilizofanywa hapo nyuma, pamoja na theories (nadharia) mbalimbali za wasomi waliotangulia.

Nimejitahidi kufuatilia hotuba za Rais wangu Jakaya Mrisho Kikwete toka akiwa Waziri wa mambo ya nchi za nje na mpaka sasa Rais, sijabahatika kumsikia akinukuu kitabu, tafiti wala theory yeyote duniani kitu ambacho ni tofauti na wasomi wote duniani.

Kwahili sitaki kuamini kuwa JK ni msomi na anajua kila kitu hana haja ya kunukuu taaluma za wasomi wengine, bali napata mashaka kiasi kwa sababu mzee wetu anashahada ya Uchumi, sitaki kuamini hata ile theory ya DEMAND & SUPPLY anashindwa kuichomekea popote katika hotuba zake.

Mara nyingi nimekuwa nikimsikia hata katika vitu ambavyo ni quantifiable (vinavyohesabika) mwenzetu huyu amekuwa akivitamka anavyojua mwenyewe. Mfano, katika hotuba yake ya Juzi mzee alishindwa kutaja jumla ya pesa waliokuwa wakigawiwa wanufaika mbalimbali katika account ya Escrow balada yake alikuwa anasema Anna tibaijuka alipewa sh. bilion 1 na "ushee".

Kwa wale wataalamu wa Mahesabu ya kifedha jaribuni kutoa elimu ili tusiendelee kuchezea taaluma za watu.
 
Mh. Professor JMK,

Mungu akupe nn tena zaidi ya sifa hizo zote..........
 
Mkuu Mjomba wa Taifa, acha kumwangusha JK bana! Amekuwa akiwanukuu wasomi wa Msoga na Chlinze utamsikia akisema "kama hutaki kuliwa huli"; "Busara ya mbayuwayu, kili za kuambwa changanya na za kwako";"wanazoza tu" nk. Je unataka kutuaminisha kuwa zote hizo siyo nukuu kutoka kwa wasomi?
 
hebu tujikumbushe hotuba za Benjamini Mkapa kidogo,

Tujivunie Mafanikio na Kujitangaza

"Mheshimiwa Spika, Leo nimekumbuka sana hadithi za walevi. Wawili walikuwa wanatembea usiku. Mmoja akaangalia juu, akamwambia mwenziwe, " Usiku wa leo ni mzuri kweli. Hebu ona mwezi ulivyopendeza!" Mwenziwe akasimama, akapepesuka kidogo, kisha akajibu, "Wewe vipi, umelewa nini? Huo sio mwezi, hilo ni jua." Wakabishana kwa muda mpaka walipomwona mtu wa tatu akipita karibu yao. Kumbe naye mlevi. Wakamwuliza, "Samahani bwana. Hebu tusaidie. Lile ni jua au mwezi?" Mlevi wa tatu akasimama, akafinya macho, kisha akajibu, "Sijui bwana, mimi ni mgeni hapa!" Mheshimiwa Spika, Sitarajii Mtanzania akiulizwa kuhusu uzuri wa wazi wa kazi iliyofanyika katika nchi yetu ajibu kuwa yeye hajui kwa vile haishi hapa. Sote tunaishi hapa, na tunajua tulikotoka. Nawaomba Watanzania wakumbuke tulikotoka, na wasione haya kukiri kuwa tumepiga hatua kubwa. Najua si hulka yetu kujisifu, lakini dunia ya leo inahitaji kujisifu. Tusiwaachie wageni tu ndio kila mara wanaimba sifa zetu, wakati wenyewe tunakuwa kama hatuhusiki na hatuoni"

"Kiuchumi hali kadhalika. Kwa vigezo vyovyote vile, Tanzania sasa imejijengea misingi imara ya uchumi, na hivyo kuufanya uchumi wetu uanze kuwa nyumbulifu na endelevu. Kama nilivyosema, tunao ukame msimu huu kwenye sehemu kubwa ya nchi yetu. Ingekuwa zamani tungekuwa tunahaha kweli kweli. Lakini leo ninaposema wananchi wasiwe na wasiwasi, nasema hivyo kwa kujiamini, maana tunayo akiba ya kutosha ya fedha za kigeni, na tunayo mahusiano mazuri na nchi wahisani ambao tunashukuru wanaunga mkono juhudi za Serikali kuhakikisha kinakuwepo chakula cha kutosha kwenye pembe zote za nchi yetu. Tusione aibu kujisifu"
 
katika kumsikiliza nimegundua kuwa anapenda kutumia misemo ya kiswahili kuliko ya uliyo yasema hapo
 
Ananukuu semi za kwenye vikao vya gahawa. Akili za mbayuwayu changanya na za kwako. Ili uweze kuwanukuu wengine ni lazima uwe na muda wa kusoma vitabu. Labda anaweza kuimba Bololo, bololo, bololo. My number one. Hapo je?
 
mkuu mbona ananukuu sana kumbuka ule usemi ukitaka kuliwa nawe sharti uliwe oooh sina maana hiyo hahahahahahahah
 
Mlipo mchagua....imekula kwenu mwenyewe anahesabu miezi akale bata USA.
 
Wakati Obama alivyokuja tz

"A Question from Ms Christine from NBC News to President Kikwete during the Obama's press conference at Ikulu in Dar es Salaam yesterday

"President Kikwete, Did you discuss with president Obama the Tanzanian Diplomat who is stationed in Washington DC and fined a million dollars for holding a woman against her will as domestic servant. Is this person still an adviser to you and is this issue in anyway undercut your ability to fight human trafficking in you great country?"


Answers/Response from the President Kikwete


"....I am aware of a situation in Washington that involve one of our diplomats…. This incidence involves a young sister of the wife of this diplomat. He took her with them to help her getting education and support her make it in life. Then I think there was a conflict within the family, and then this young lady accuse the brother in law and the sister of using her for cheap labour. The court decided 1 million fine, an amount which for a Tanzanian there is no way that he can afford to pay, even the president.. we are here the presidents.. when I retire my retirement benefits can not pay that because we get far less. Then I think there was reconsideration for this gentleman to pay 175,000 dollars which is far as I know has already been paid; so that matter has been put to rest"
 
Washauri wanajitakidi kumshauri ila kichwa yake haina uwezo wa kunasa. Pili hawezi kuchanganya akili ya kuambiwa na zake. Ndio maana wale jamaa wanafahamu weakness yake ndio maana wanamlisha kasa. Kibaya huwa anajifanya anafafanua jambo kumbe ndo anakosea kabisa, ndio maana utaona watu wanamshambulia ni kwa sababu hiyo tu

Nimejitahidi sana kufuatilia hotuba za marais mbalimbali duniani waliopita na waliopo madarakani. Zaidi ya hapo nimejitahidi kufuatilia maongezi mbalimbali ya wasomi mbalimbali duniani nimegundua kuwa katika kujenga hoja mbalimbali wamekuwa wakitumia mifano mbalimbali ya matukio ya nyuma, maandiko ama tafiti mbalimbali zilizofanywa hapo nyuma, pamoja na theories (nadharia) mbalimbali za wasomi waliotangulia.

Nimejitahidi kufuatilia hotuba za Rais wangu Jakaya Mrisho Kikwete toka akiwa Waziri wa mambo ya nchi za nje na mpaka sasa Rais, sijabahatika kumsikia akinukuu kitabu, tafiti wala theory yeyote duniani kitu ambacho ni tofauti na wasomi wote duniani.

Kwahili sitaki kuamini kuwa JK ni msomi na anajua kila kitu hana haja ya kunukuu taaluma za wasomi wengine, bali napata mashaka kiasi kwa sababu mzee wetu anashahada ya Uchumi, sitaki kuamini hata ile theory ya DEMAND & SUPPLY anashindwa kuichomekea popote katika hotuba zake.

Mara nyingi nimekuwa nikimsikia hata katika vitu ambavyo ni quantifiable (vinavyohesabika) mwenzetu huyu amekuwa akivitamka anavyojua mwenyewe. Mfano, katika hotuba yake ya Juzi mzee alishindwa kutaja jumla ya pesa waliokuwa wakigawiwa wanufaika mbalimbali katika account ya Escrow balada yake alikuwa anasema Anna tibaijuka alipewa sh. bilion 1 na "ushee".

Kwa wale wataalamu wa Mahesabu ya kifedha jaribuni kutoa elimu ili tusiendelee kuchezea taaluma za watu.
 
Duuuuuu, hayo ndo yalikuwa majibu wa prof wa kichina. kazi ipo kweli kweli

Wakati Obama alivyokuja tz

"A Question from Ms Christine from NBC News to President Kikwete during the Obama's press conference at Ikulu in Dar es Salaam yesterday

"President Kikwete, Did you discuss with president Obama the Tanzanian Diplomat who is stationed in Washington DC and fined a million dollars for holding a woman against her will as domestic servant. Is this person still an adviser to you and is this issue in anyway undercut your ability to fight human trafficking in you great country?"


Answers/Response from the President Kikwete


"....I am aware of a situation in Washington that involve one of our diplomats…. This incidence involves a young sister of the wife of this diplomat. He took her with them to help her getting education and support her make it in life. Then I think there was a conflict within the family, and then this young lady accuse the brother in law and the sister of using her for cheap labour. The court decided 1 million fine, an amount which for a Tanzanian there is no way that he can afford to pay, even the president.. we are here the presidents.. when I retire my retirement benefits can not pay that because we get far less. Then I think there was reconsideration for this gentleman to pay 175,000 dollars which is far as I know has already been paid; so that matter has been put to rest"
 
Wakati Obama alivyokuja tz

"A Question from Ms Christine from NBC News to President Kikwete during the Obama's press conference at Ikulu in Dar es Salaam yesterday

"President Kikwete, Did you discuss with president Obama the Tanzanian Diplomat who is stationed in Washington DC and fined a million dollars for holding a woman against her will as domestic servant. Is this person still an adviser to you and is this issue in anyway undercut your ability to fight human trafficking in you great country?"


Answers/Response from the President Kikwete


“....I am aware of a situation in Washington that involve one of our diplomats…. This incidence involves a young sister of the wife of this diplomat. He took her with them to help her getting education and support her make it in life. Then I think there was a conflict within the family, and then this young lady accuse the brother in law and the sister of using her for cheap labour. The court decided 1 million fine, an amount which for a Tanzanian there is no way that he can afford to pay, even the president.. we are here the presidents.. when I retire my retirement benefits can not pay that because we get far less. Then I think there was reconsideration for this gentleman to pay 175,000 dollars which is far as I know has already been paid; so that matter has been put to rest”

Whaaao! Haven't realised he is this much pathetic. Mostly I caught him several times pronounce 'one Southand' meaning 'thousand' But....for goblin's sake, why insist on speaking English? Only African leaders do not speak their own languages and.... you wonder why we have been enslaved!
 
Back
Top Bottom