KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Wakuu naomba mnifahamishe kama huyu dr anatibu kweli kisukari. Huwa namsikia mara nyingi kwenye vyomba vya habari akijinadi kuwa anadawa za kutibu kisukari.
Ni kweli anatibu??,,make dawa zipo za 50,000/=;150,000/=;300,000/= etc
Ni kweli anatibu??,,make dawa zipo za 50,000/=;150,000/=;300,000/= etc