Dr. Ndarichako jipange ur next.....

Status
Not open for further replies.
hapa naona ndalichako analindwa na wadau wengi wa jf kwakuwa yeye ni Mkiristo tu. lkn ni wazi NECTA kimekuwa kichaka cha kanisa. Wengi wakiristo wanaopta daraja la 1 la necta wakiingia Univ wanakuwa mzigo kwa taifa

Mkuu kwahiyo div 1 zote za wakiristo ni za kupewa na NECTA?ebu tusaidiane hivi kwenye paper uwa wanaandika majina au #?hivi unawezaje kumbeba mtu usimjua?hiyo imeanza lini?isije kuwa fear of an noun!
 

Chuki yazidi kugota! yani lolote litakalotokea katika nchi hii! JK umehusika moja kwa moja Utazibeba laana za wote watakadhulumiwa katika ardhi ya TZ

 
Dini ni kama opium tu kwa binadamu. Inalewesha kama nn. Salman Rushdie is my hero. Mpaka kesho anadunda tu, hakuna cha fatwa,alb wala nn.
 
Nani atafuata baada ya Ndalichako? Nafikiri iwe jeshi la Polisi na serikali ya SISIEM
 
hakuna hoja ya msingi ya kumtoa ndalichako,yote ni majungu.punguzeni madrasa watoto wapate elimu ya western
 
hakuna hoja ya msingi ya kumtoa ndalichako,yote ni majungu.punguzeni madrasa watoto wapate elimu ya western

Mkuu wachangiaji eti wanadai Div 1 wanapewa wakiristo na Div 4 wanapewa wao na anaye endesha hilo zoezi ni Ndarichako. Napata shida kuprove hayo madai wewe je?
 
wamewakosa tu. Wangetafuta angalau wa3 wawaonyeshe jinsi inavyoendeshwa. Wanatumia udhaifu wa jk. Njomba angewafanya mbaya leo. Dini haina haki ya kuamua mstakhabali wa nchi ya watu mil. 40

Unapo ongelea Njomba bila shaka unaongelea Mwembechai killings (WE GOT IT ON TAPES. PIGA YULE, UA YULE). Na bila shaka unakumbuka zanzibar killings.
Tukio lile lilipotekea waislamu hawakua wamejipanga kishari, lakini lesson learned. Kama unakumbuka reaction ya waislamu baada ya mauwaji yale, siku ile, magari ya serekali kadhaa yalichomwa moto baada ya kuwa amuru madereva wake watoke nje wenyewe kwa amani. Hata hivyo pamoja kwamba vurugu zilienea mpaka magomeni, lakini tofauti na kenya, makanisa zaidi ya mawili hakuna hata moja lilijerihuwa.


ONYO

Mauji kama yale yakitokea tena, sio tu kua tuta wafatilia na kuwa ua wahusika mmoja mmoja, bali pia tuta iandika upya historia ya nchi hii.
 

mkuu mbona mmekaa kishari sana,ndio maandiko yenu yanavyowafundisha??
 

Kwako Mzimu,
Nashukuru mkuu, ila mimi binafsi ningeomba kujua Uislamu misingi yake nini? Mbona wanakaa kulalamika kana kwamba wanaonewa? Misingi ya mafundisho ya Uislamu katika kwa mlengo wa kuishi na jamii zingine upi? Je ni kweli kuwa waislamu wengi elimu ya dunia haiwasaidii ndo maana siyo focus yao?

Na kama wanachotaka ndo wanalazimisha serikali ifanye, nini lengo kuu la waislamu katika mustakhabali wa nchi hii.

Nashukru sana
 
mkuu mbona mmekaa kishari sana,ndio maandiko yenu yanavyowafundisha??

Unajua kwa mtu uliyejua nini maana ya kuishi na watu sijajua ni jinsi gani unaweza kutetea mambo yanayofanywa na waislamu. Wengi wa waislamu wanatamani wangeishi katika kisiwa kisichokuwa na dini zingine. Je hii ni haki?

Hata katika mataifa yote yenye vurugu za namna hii mwanzo ulikuwa huu. Na siku zote ni kusema serikali haiwatendei haki ndo maana nataka kujua nini msingi ya uislamu. Na source ambazo zinawezekana ni hizo tu. Huwezi ukawa unajijari kuliko kujari wengine hiyo nayo ni dhambi kubwa.
 
Hawa ndugu zetu wa suruali fupi ni korofi sana, tunakoenda watasema shule zote zinazoandikwa Santa (Saint) ziwe zao, watataka hata uwiano wa wale wanaoingia vyuoni....
 
 
Mkuu tatizo ni Ndarichako au mfumo?au kuna iden agenda?

Ni mfumo wa kupinga Elimu Dunia, pale Elimu Mbingu inaposhindwa kufanya kazi, utambuzi unapatikana na hapo lazima kuikazania kwa juhudi zote, kwa mbinu zote zinazowezekana.
 
 
Kama kweli una nia ya kupata suluhisho la kweli na hawa watu na kama unataka kujua namna ya kuishi nao then iga ISRAEL wanachokifanya! hawa watu ni tatizo, gubu ni kipaji chao, dawa yao ni kama ISRAEL inachokifanya basi! Ndio maana hizo gubu zao wanafanyia nchi nyingine sio mwanaume ISRAEL!
 
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…