Dr Nchimbi hongera kwa kuvumilia!

Dr Nchimbi hongera kwa kuvumilia!

Mudawote

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
11,570
Reaction score
16,017
GTs,
Nimpongeze kwa dhati kabisa toka Moyoni Dkt Nchimbi kwa uvumilivu wake. Hakika huo moyo Dkt Mpango hana kabisa. Ila pia pole sana kwa wananzuoni kutoka Chuo Kikuu Mzumbe na IDM, maana ndiyo Chuo kimetoa rais wa kwanza ila ndiyo hivyo haelewi kabisa kinachoendelea na vilio vinavyoendelea huku mtaani. Ila uzuri wa Mungu hua anatoa somo.

Sisi tuliokuwa kindaki ndaki kwa Dkt Magufuli alivyofariki hatukuamini, tulijiona miungu watu na waliopiga kelele tuliona wanatuchelewa na ni mamluki ila leo Dkt Magufuli ni mifupa.

Dkt Samia tunakuombea mwisho mwema labda utaamka usingizini na kujua kumbe zile nyomi ni za mchongo yaani watu wanakuja kuchukua hizo elfu kumi, na chumvi na sabuni, hivyo mtu akihudhuria mikutano 10 ana laki moja.

Mimi Oktoba lazima ni tick kwa Dkt Samia ila ukweli katuvuruga sana kwa ukimya na watu kuuawa halafu yeye yupo kimya. Uzuri hakuna lisilo kuwa na mwisho kile lenye mwanzo, na yeye ataondoka madarakani kama ilivyo kwa watangulizi wake
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
Huu ujumbe mbaya. Wana CCM zaidi ya 99% hawampendi mwenyekiti kabisa hivyo kuwachomea vyumba moto haisaidii. Mi nilidhani labda ilipaswa kuangalia namna nyingine. Wana CCM unaowaona kwenye nyomi wanafuata hela za Angela Kizigha hizo buku ten ten ila hawampendi kabisa mwenyekit wetu.
 
GTs,
Nimpongeze kwa dhati kabisa toka Moyoni Dkt Nchimbi kwa uvumilivu wake. Hakika huo moyo Dkt Mpango hana kabisa. Ila pia pole sana kwa wananzuoni kutoka Chuo Kikuu Mzumbe na IDM, maana ndiyo Chuo kimetoa rais wa kwanza ila ndiyo hivyo haelewi kabisa kinachoendelea na vilio vinavyoendelea huku mtaani. Ila uzuri wa Mungu hua anatoa somo.

Sisi tuliokuwa kindaki ndaki kwa Dkt Magufuli alivyofariki hatukuamini, tulijiona miungu watu na waliopiga kelele tuliona wanatuchelewa na ni mamluki ila leo Dkt Magufuli ni mifupa.

Dkt Samia tunakuombea mwisho mwema labda utaamka usingizini na kujua kumbe zile nyomi ni za mchongo yaani watu wanakuja kuchukua hizo elfu kumi, na chumvi na sabuni, hivyo mtu akihudhuria mikutano 10 ana laki moja.

Mimi Oktoba lazima ni tick kwa Dkt Samia ila ukweli katuvuruga sana kwa ukimya na watu kuuawa halafu yeye yupo kimya. Uzuri hakuna lisilo kuwa na mwisho kile lenye mwanzo, na yeye ataondoka madarakani kama ilivyo kwa watangulizi wake
Hujaeleweka naona fungu la maneno tu
 
Hujaeleweka naona fungu la maneno tu
Namaanisha Dkt Nchimbi ni makamu wa rais huu ujinga unaoendelea angekuwa rais asingekubali huu ujinga angekomesha ila sasa hana rungu anavumilia kuongozwa na mwenyekiti kama Dkt Samia ambaye hana empathy ya kujua machungu wanayopitia wanaouliwa na kutekwa
 
Huu ujumbe mbaya. Wana CCM zaidi ya 99% hawampendi mwenyekiti kabisa hivyo kuwachomea vyumba moto haisaidii. Mi nilidhani labda ilipaswa kuangalia namna nyingine. Wana CCM unaowaona kwenye nyomi wanafuata hela za Angela Kizigha hizo buku ten ten ila hawampendi kabisa mwenyekit wetu.
Lazima tutiane adamu mwaka huu na tulijenge upya hili Taifa kwa nidhamu na kuheshimiana.
 
Namaanisha Dkt Nchimbi ni makamu wa rais huu ujinga unaoendelea angekuwa rais asingekubali huu ujinga angekomesha ila sasa hana rungu anavumilia kuongozwa na mwenyekiti kama Dkt Samia ambaye hana empathy ya kujua machungu wanayopitia wanaouliwa na kutekwa
Uzuri ni masta wa mapinduzi.
 
Dkt Samia tunakuombea mwisho mwema labda utaamka usingizini na kujua kumbe zile nyomi ni za mchongo yaani watu wanakuja kuchukua hizo elfu kumi, na chumvi na sabuni, hivyo mtu akihudhuria mikutano 10 ana laki moja.
Chumvi 10 na Sabuni 10 safi kabisa
 
Ni kweli, ukiwa smart ukaongozwa na average mind ni kazi sana. Inabidi uswitch ubongo wako uwe level ya chini ili.muendane, la sivyo utapata sonona.

Ila wengi walio smart hawawezi kufanya kazi na low IQ, so that makes Dr. Nchimbi to be average too!!
 
Mkuu Mudawote habari za siku nyingi! Ni kupongeze kwa kuusema ukweli kuhusu mwenyekiti wenu maana sote tunakujua wewe ni mbogamboga lialia.
Ila kuhusu Nchimbi uliwahi kuongea nae ukajua hapendi? Je kama anafurahia ndio maana yupo kimya?
 
Back
Top Bottom