Ndio tatizo la kumtegemea mtu badala ya kutegemea uwezo wako,wengi wanategemea huruma ya raisi kushibisha matumbo yao,ndio maana hata wakiambiwa walambe viatu wanalamba,akipona aende akafundisha cha kada mwenzake Ma------,watu hujisahau sana na kujiona kana kwamba wao ndio wenye nchi,kisa ni swahiba na mwenye kigoda