Dr.Mwinyi na Mke wa Seif

Dr.Mwinyi na Mke wa Seif

Profesa wa Maliasili

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
632
Reaction score
1,921
Ubinadamu wa hali ya juu sana
FB_IMG_1614416747329.jpeg
 
Kitu ambacho nimegundua mpaka sasa, waislamu wote wanao tawala huwa ni pole sana,wabinadamu tofauti na wakristo toka Nyerere mpaka leo
Usidhani inatokea kwa bahati tu.Kuwa Rais Tanzania kwa Muislam ni lazima uwe Muislam poa wa kutokea Bakwata.Ukiwa siasa kali kama kina Ponda,Urais utausikia kwa wengine.Kwahiyo ondoa dhana kuwa yeyote muislam akiwa Rais atakuwa na ubinadamu tofauti na wakristo.
 
Kitu ambacho nimegundua mpaka sasa, waislamu wote wanao tawala huwa ni pole sana,wabinadamu tofauti na wakristo toka Nyerere mpaka leo
Mm ni mkristo R/C lkn nadhani ndugu zetu waislam wana mafunzo mengi sana ya kujali utu....toka wakiwa wadogo sisi kina Alexander tukiwa na vyeo tunataka kuwa kama kina Alexander the great
 
Back
Top Bottom