Mungu ni Mkuu na mwenye huruma. Ni muweza wa yote yaliyoshindikana. Dr. Mwakyembe, Mungu akuponye na uweze kurudi kwenye majukumu yako ya kila siku. Damu ya YESU isafishe kila lililo baya katika damu yako ("DAMU YA YESU HUSAFISHA KABISA"). Ame, You real inspired me. GOD IS ABLE.