Ukweli hauna expire date. Ukweli hauna siku ya kuharibika. Kama ni ukweli na usemwe.
Waafrika hawana utamaduni wa kukabiliana na ukweli. Ni waoga balaa. Wanapenda kusikiliza yanayo waliwaza tu. Kabili ukweli ndugu. Ukweli utakuweka huru. Sikiliza halafu amua.
Kujifunza hakuishi