Nani amuwekee sumu mtu kama yeye. Mafungus yake ya Ubongo yana msumbua sasa anataka kusingizia watu. Tena aombe Lowassa awe Rais ili ziingizwe ARV ambazo sio Feki.
Ndipo akili yake na u dr wake wa sheria ulipoishia hapo! Toothless poppy! Mi nlijua mahakaman akimshtak mwanasheria mkuu na lowassa kwa jina lake kumbe ni ni taa ya chemli tv(maana haina hadhi ya kulinganishwa na nyota tena)!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.