Dr. Mwaka vs Babu Ambilikile Mwasapile wa Loliondo

Dr. Mwaka vs Babu Ambilikile Mwasapile wa Loliondo

Hivi yule Babu wa kikombe na Dr Mwaka nani zaidi? Maana nasikia tu matangazo mengiii waliopona sisikii ebu niambieni
Tena kwa Dr Mwaka ukisema tu umetibiwa tmj au regency au aghakani haujapona umeumia,bei utakazotajiwa hapo balaa.
 
Heshima ni kitu cha bure,mheshimu rais wako.Lakini pia kiubinadamu si vyema kumkejeri mtu yeyote sababu ya ugonjwa

Nimependa sana bandiko lako.Kwa hakika lina maneno machache lakini ukiyatafsiri utaweza andika vitabu hata laki moja.Niwaombe tukubaliane naye na tufuate ushauri wake.Hakuna haja ya kuwaiga kina Nape..Lusinde..na January.
 
Heshima ni kitu cha bure,mheshimu rais wako.Lakini pia kiubinadamu si vyema kumkejeri mtu yeyote sababu ya ugonjwa

Mbona Lowassa mnamkejeli kuwa ni mgonjwa na yeye mwenyewe yuko kimya? Nadhani ndo tulipofikia sasa, ikiwa Nape anamtukana Lowasa ambaye kwa umri ni baba yake unategemea nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom