Hii stori kwa mara ya kwanza niliisikia kwa rafiki yangu ila sikutilia maanani maana kwangu nguvu za kiume sio tatizo..ishu iko hivi pale clinic kunafanyika usanii mkubwa sana ambapo mimea hupondwa pondwa na kusagwa na dawa za kuongeza nguvu za kiume aina ya CIALIS na Viagra mchanganyiko huo huwa packed katika viboksi vidogo vidogo kwa ajili ya matumizi kwa walio na upungufu...kwahiyo mtumiaji akila hii dawa hujifeel tofauti na kupiga game ya maana hii humfanya mwanaume kujiamini kisaikolojia hivyo kuwa na performance nzuri ila in long term ina madhara kwani unavozidi kutumia unapunguza sperm count na kuadhiri uwezo wa kudunga mimba.
Watanzania wengine vichwa nyumbu sana... Mwaka Juma, ni tapeli wa matapeli... kwanza hana taaluma.. ana just BASIC CERTIFICATE ya Herbal medicine... kasomea Introduction kwa miezi 3 tu ndio nchini China ndio akapata hiyo BASIC CERTIFICATE...!! Just kasome introduction to herbals kwa 3 months..!!
Watu walivyo manyumbu humu wanamtetea tapeli mkuu huyu..!! Hawajui afya ndio uhai wa Taifa... Huyu Mwaka ingetakiwa saa hizi ameshafungwa na kuwa castrated kabisa..!! damn..!.....Pili anatumia vitabu na vifaa vya hospital tena vya modern medicine..kutangazia biashara yake.. huyu nyangau huyu, sijui mtu mwenye akili timamu anawezaje kumsapoti tapeli huyu Mwaka...
What Mwaka does ni CHEATING KTK TIBA ZAKE.. NA NI HATARI SANA... aweka ENERGIZERS kibao ktk dawa zake za maji na unga, kisha ukitumia you FEEL ENERGY, na kuhisi umepona.. sbb mtu mgonjwa always ata feel weakness... sasa ukipewa a bit strong energizers you feel well kidogo na unajiona una nguvu NAKUDHANIA UMEPATA DAWA NZURI NA KUPONA MENTALLY uhisi hivyo... kumbe ni uhuni mkubwa sana... na utatumia miaka yote hakuna healing yoyote..!!
Is like utumie RED BULL au ORGANO GOLD kila siku utafeel energy ya kutosha na nguvu, but HAKUNA HEALING HAPO... NI UTAPELI... NA nikwambie, hizo dawa zinatumia kuamsha RESERVED BODY ENERGY for emergency... yaani matukio ya dharura body huwa ina akiba ya energy stored kwa dharura... sasa hizi stimulant zinapump damu kwa wingi na consume stored energy na kuhisi una nguvu, na ukipata nguvu utadhania umepona... kumbe ni UTAPELI... na UGONJWA UKO PALE PALE...!!
This is insane... immoral...!!Huyu tapeli mkubwa Mwaka angetakiwa amehasiwa na kufungwa saa hz...!Mh. Naibu waziri na Serikali tena wamechelewa... wangemkamata na kumpa adhabu ya kifungo kikubwa... afya za watanzania sio kufanyia mchezo kabisa...!!Hizo fake and false evidences eti kuna watu wanapona na kuzaa ukienda kwa Mwaka ni utapeli mkubwa... ananunua watu KUTOA USHUHUDA WA UONGO KAMA MAKANISA YA KILOKOLE YANAVYOFANYA...
USANII MTUPU... ILI WAPATE WATEJA NA KUWAHADAAA NA KUTAPELI HELA... Usanii wa Mwaka na hao mashuhuda wa uongo wananunuliwa wengi, ili kupata biashara...!! Na anajitangaza kuliko matangazo hata ya Coca Cola... tapeli mkubwa huyu.. i feel angry... sbb anaharibu na kucheza na kitu very very sensitive i.e AFYA za watanzania...!!
Mh. Naibu Waziri, Kigwangala hongera sana sana... Castrate him..!! damn..!!Watu wameshalishwa Viagra sana pale bila kujijua wanadanganywa kuwa no mimea asilo kumbe anachanganya Viagra na madude anayoyajua yeye.
Watanzania wengine vichwa nyumbu sana... Mwaka Juma, ni tapeli wa matapeli... kwanza hana taaluma.. ana just BASIC CERTIFICATE ya Herbal medicine... kasomea Introduction kwa miezi 3 tu ndio nchini China ndio akapata hiyo BASIC CERTIFICATE...!! Just kasome introduction to herbals kwa 3 months..!!
Watu walivyo manyumbu humu wanamtetea tapeli mkuu huyu..!! Hawajui afya ndio uhai wa Taifa... Huyu Mwaka ingetakiwa saa hizi ameshafungwa na kuwa castrated kabisa..!! damn..!.....Pili anatumia vitabu na vifaa vya hospital tena vya modern medicine..kutangazia biashara yake.. huyu nyangau huyu, sijui mtu mwenye akili timamu anawezaje kumsapoti tapeli huyu Mwaka...
What Mwaka does ni CHEATING KTK TIBA ZAKE.. NA NI HATARI SANA... aweka ENERGIZERS kibao ktk dawa zake za maji na unga, kisha ukitumia you FEEL ENERGY, na kuhisi umepona.. sbb mtu mgonjwa always ata feel weakness... sasa ukipewa a bit strong energizers you feel well kidogo na unajiona una nguvu NAKUDHANIA UMEPATA DAWA NZURI NA KUPONA MENTALLY uhisi hivyo... kumbe ni uhuni mkubwa sana... na utatumia miaka yote hakuna healing yoyote..!!
Is like utumie RED BULL au ORGANO GOLD kila siku utafeel energy ya kutosha na nguvu, but HAKUNA HEALING HAPO... NI UTAPELI... NA nikwambie, hizo dawa zinatumia kuamsha RESERVED BODY ENERGY for emergency... yaani matukio ya dharura body huwa ina akiba ya energy stored kwa dharura... sasa hizi stimulant zinapump damu kwa wingi na consume stored energy na kuhisi una nguvu, na ukipata nguvu utadhania umepona... kumbe ni UTAPELI... na UGONJWA UKO PALE PALE...!!
This is insane... immoral...!!Huyu tapeli mkubwa Mwaka angetakiwa amehasiwa na kufungwa saa hz...!Mh. Naibu waziri na Serikali tena wamechelewa... wangemkamata na kumpa adhabu ya kifungo kikubwa... afya za watanzania sio kufanyia mchezo kabisa...!!Hizo fake and false evidences eti kuna watu wanapona na kuzaa ukienda kwa Mwaka ni utapeli mkubwa... ananunua watu KUTOA USHUHUDA WA UONGO KAMA MAKANISA YA KILOKOLE YANAVYOFANYA...
USANII MTUPU... ILI WAPATE WATEJA NA KUWAHADAAA NA KUTAPELI HELA... Usanii wa Mwaka na hao mashuhuda wa uongo wananunuliwa wengi, ili kupata biashara...!! Na anajitangaza kuliko matangazo hata ya Coca Cola... tapeli mkubwa huyu.. i feel angry... sbb anaharibu na kucheza na kitu very very sensitive i.e AFYA za watanzania...!!
Mh. Naibu Waziri, Kigwangala hongera sana sana... Castrate him..!! damn..!!Watu wameshalishwa Viagra sana pale bila kujijua wanadanganywa kuwa no mimea asilo kumbe anachanganya Viagra na madude anayoyajua yeye.