Dr. Mvungi: Mwanafamilia aibua mapya kuhusu kifo chake

Dr. Mvungi: Mwanafamilia aibua mapya kuhusu kifo chake

Vijana wenzangu uchwara wa CCM watasema nalo NIPASHE ni la udaku km wanavyojitoa akili kwenye kashfa ya Prof. Kapuya baada ya Tanzania Daima kuwa la kwanza kuripoti.

Chama cha Mapinduzi kinahitaji either kujipindua au kupinduliwa ili turudi kwenye mstari sahihi wa maendeleo.
 
aisee inatia huruma,na kweli alikuwa muadilifu miaka yote hiyo,hata ukuta alikuwa hajamaliza kuzungushia ghorofa lake,wakati mukandala liukuta kwenye hekalu lake ni la kufa mtu.RIP Dr Mvungi

Dr. Mvungi alikuwa mzalendo na muadilifu tofauti na mafisadi wakina Mukandara ambao wameibia REDET na kuifilisi ili wajenge mahekalu na kununa benz za kifahari wanazoogopa hata kuendesha barabarani badala yake wanafungia ndani!!!
 
Tanzania inapotea sana, na si tena kisiwa cha amani. Rip dokta
 
Kama hii ni serikali ya majambazi, wauuza unga, wabakaji, wauza pembe za ndovu, wezi wa kura, wang'oa kucha na macho, wauaji wa tindikali sindano za sumu na poladium, hauhitaji kuwa na degree kujua kuwa dr kauawa .
 
1.Taa ya nyuma ilikuwa haiwaki 2. Walivunja mlango wa nyuma 3. Dr. alisikia purukushani na si kuvunjwa mlango? 4. Alitoka bila silaha and so on...
 
Tutaongea mengi lakini ukisimamia serikali tatu unakuwa na maadui wengi sana! Wanaoziona live roho za mapepo na mahuti hawawezi wakakuacha hivi hivi!!
 
These people are so stupid mtu mwennye akili timamu ufanye kazi za muhimu usiwe na back up?? Ukiwa CCM akili inatoweka full

Una bwana yupo Ccm amekuacha sasa una hasira nae nini? Kuna watu mnavichwa panzi kweli. Na yule hawara wa mama yako utasema nae ni Ccm!
 
Vijana wenzangu uchwara wa CCM watasema nalo NIPASHE ni la udaku km wanavyojitoa akili kwenye kashfa ya Prof. Kapuya baada ya Tanzania Daima kuwa la kwanza kuripoti.

Chama cha Mapinduzi kinahitaji either kujipindua au kupinduliwa ili turudi kwenye mstari sahihi wa maendeleo.

Mimba changa zipo nyingi sana Chadomo
 
Cha ajabu afande Kova kama kawaida yake,katika mambo serious kama haya,yeye huwa analeta maigizo. Si mnakumbuka katika kikao chake cha kwanza na waandishi,alisema moja ya vitu walivyovikuta kwenye eneo la tukio, ni skafu ya Chadema! Hivi ni kwa nini JK hampigi chini huyu afande,na nafasi yake ampe mtu mwingine,ili amwache Kova aende akafanye kazi idara ya propaganda pale Lumumba,akiwa sambamba na Nape?!! Hivi kwa utendaji kazi wa Kova,tunatarajia kweli kuwapata wauaji "real" wa Mvungi? Si mnakumbuka wakati wa kutekwa kwa Dr Ulimboka,alipotuletea ile movie ya mkenya chizi? Si mnakumbuka pia wakati aliponyofolewa jicho Absolom Kibanda,afande Kova alijiapiza kuwa,hao majambazi waliohusika na tukio la Kibanda,watakamatwa wote,hivi leo ni zaidi ya miezi 6 tokea tukio hilo litokee,hakuna hata mtuhumiwa mmoja aliyekamatwa!! Kwa hiyo hata katika tukio hili la Marehemu Mvungi,tutarajie kuziona movie zake za kawaida afande Kova!
yaani nimecheka sana na matukio ya kamanda wetu
 
Ni nani atakaeweza kujitoa kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu ikiwa kila anaejaribu hali ndio hii!tiba hasa ni nini lakini mbona inatisha sana!
 
kilichonishangaza zaidi ni hao waoitwa majambazi kudai nyaraka kwanza na kutoficha sura zao inamaana wamekuja kuua hao kitu ambacho jambazi huwa anafanya kila analoweza kukiepuka kwa kuepuka kesi ya mada.

Kaka haya yanaonekana ni maelezo ya kufikirika (dr alikuwa mtu makini kwani any sensitive issue kama soft copy itakuwa kwenye pc lakini mind you huwa issue ambayo ni kore sensitive inatunzwa kwenye email yake na hata ungechukua pc haisaidii na huwezi kuiediti. tatizo letu watanzania tumezidi uzushi wa kujifanya tulikuwepo na ni wa karibu na tukio au mlengwa na huwa hatukosi haswa tukiahidiwa kutangazwa kwenye magazeti au tv kusema chochote cha uongo kama mleta mada
 
May ua soul rest in peace DR.I cant blv if ua gon,i felt very sad 4u bt hopful ua in good plac 2nakuombea baba,walaaniwe hao walioamua kukuondoa bila ridhaa yake.
 
Walitumwa na nani? Nani ambaye anataka laptop ya Mvungi na kwa sababu gani? Je waliowatuma walikuwa wanataka kuona nini katika laptop hiyo? Je ni mambo yanayohusu Katiba mpya? Ikiwa ni hivyo, Je hawa waliowatuma wanaweza kuwa marafiki au au maadui zake? Ama tusiwaite maadui bali wapinzani wa msimamo wake! Bila shaka hawani wapinzani wa msimamo wake kwani kama kama wangekuwa marafiki au watu wa msimamo wake wangeenda kujadili naye na kupata mtizamo wake! Je msimamo wa Mvungi ulikuwa ni nini kuhusu katiba mpya? Wajumbe wa tume wanaweza kujua kuwa msimamo wake ulikuwa unaweka kundi gani katika wakati mgumu? Nani ambao wangeweza kuwa wapinzani wake? Je msimamo wake ulikuwa unahatarisha masilahi ya kundi hili kiasi cha kuhisi hatari?............

Well SAID mkuu!!
 
Damu ya Dk.Mvungi itawalilia hawa wauaji!! Ila hapo ndo huaga siamini kama hakuna dhambi kubwa ama ndogo!kwa huu unyama dah
 
Back
Top Bottom