Utapeli wa kutolipa kodi kwa marafiki wasio na diplomatic immunity = conflicts of interests!
- Waziri Daftari Maua alitaka kununua vifaa hivyo huko nchi za nje bila kulipa kodi!
- Waziri Maua Daftari alitaka kusafirisha vifaa hivyo kutoka nchi za nje hadi Dar bila kulipia ushuru wa forodha.
- Waziri Maua Daftari Maua alitaka kuingiza vifaa hivyo bila kulipa ushuru wa forodha Tanzania.
Nani anajua historia ya huyo mlalamikaji Fatma Salimini? Hebu jaribuni kuchunguza yake na utaona huyu mama ni wa aina gani tangu enzi ya gazeti ya Fahari. Dr. Maua ameingizwa mkenge na mtoto wa mjini na yeye akatumbukia kwenye shimo.
Siyo kwamba namtetea Dr. Daftari lakini hukumu iliyokwenda kwa amount kubwa yote hiyo bila ya kuwa na ushahidi wa maandishi (kwa kuaminiwa) mimi naona haikukaa sawa hata kidogo. Hiyo value imepatikana vipi na hasa kwa dhahabu na vyombo vyengine?
Wataalamu wa sheria naomba mutuelimishe kuhusu hili.
Jamani
Mahakama ya Rufani Tanzania imetoa ukumu ya Naibu waziri Maua Daftrai kumlipa mdeni wake 100.7M aliyemtapeli.
Je kwa hili anastahili kubaki waziri. Kosa ni wizi wa kujiaminisha.
Mama Salmini wa Mlandizi? tumejaribu kuelezea sana sakata hili kwenye thread fulani ndani ya JF... ila mwisho naweza sema upole na ushamba wa Dr Maua umemponza kwani hakujua kuwa rafiki yake ana tabia nyingi zaidi ya ile waliyokuwa wameizoea........, Dr alifikiri Mlandizi ni mikorosho tu kumbe sio na sasa kalizwa kimjinijini na aliyedhani kuwa ni swahiba yake, ogopa sana yule mama ni mafia anayejua anafanya nini kwa kila step anayopiga
Utapeli wa kutolipa kodi kwa marafiki wasio na diplomatic immunity = conflicts of interests!
- Waziri Daftari Maua alitaka kununua vifaa hivyo huko nchi za nje bila kulipa kodi!
- Waziri Maua Daftari alitaka kusafirisha vifaa hivyo kutoka nchi za nje hadi Dar bila kulipia ushuru wa forodha.
- Waziri Maua Daftari Maua alitaka kuingiza vifaa hivyo bila kulipa ushuru wa forodha Tanzania.
Jamani
Mahakama ya Rufani Tanzania imetoa ukumu ya Naibu waziri Maua Daftrai kumlipa mdeni wake 100.7M aliyemtapeli.
Je kwa hili anastahili kubaki waziri. Kosa ni wizi wa kujiaminisha.
Kwa mujibu wa hati ya madai ya kesi hiyo, Fatma alikuwa akimdai Dk Daftari Sh.210,092, 400 alizompa ili amnunulie vifaa mbalimbali kati ya mwaka 1994 na 1997, lakini mlalamikiwa hakufanya hivyo.
Vitu hivyo ni pamoja mashine ya kusindika matunda kutoka nchini Afrika Kusini, ungo (dish) la satellite, kutoka Uingereza, gari pamoja na vito vya dhahabu.
Mbali na pesa hizo taslimu, pia mlalamikaji alikuwa akimdai Dk. Daftari pesa za vitu mbalimbali alivyovichukua kwake kama vito vya dhahabu, mabati ya kujengea nyumba na milango ambavyo pia hakurudisha.
Mlalamikaji pia alikuwa akimdai mlalamikiwa pesa kiasi cha Sh200 milioni kama fidia kwa kuvunja makubaliano hayo, ambazo kwa jumla zilikuwa takribani Sh410milioni, ikiwa ni pamoja na gharama uendeshaji wa kesi hiyo.
Katika hukumu yake Jaji Kalegeya alieleza kuwa licha ya mlalamikiwa pamoja na mumewe kukataa madai hayo katika utetezi, walionekana kuwa ni matapeli.
<H3>
http://swahilitime.blogspot.com/2008/05/mh-maua-daftari-afiwa-na-mumewe.htmlhttp://swahilitime.blogspot.com/2008/05/mh-maua-daftari-afiwa-na-mumewe.html</H3> SASA Kwa wana Sheria mtujuze ,.je ni sahihi kutoa hukumu kwa watu wawili mume na mke,huku ikijulikana kuwa mmoja hayupo duniani?
wewe na nani?Sote hapa hatukuwepo mahakamani na nina hakika
Na wewe na mimi. Ulikuwepo?wewe na nani?
Ushasema hatukuwepo wewe na mimi, halafu unaniuliza nilikuwepo tena. Wewe na Mkandara ndio mnaojulikana hamkuwepo. Hiyo mahakama gani ya mtu mbili tu, hakimu na mtuhumiwa, imekuwa gesti?Na wewe na mimi. Ulikuwepo?