mkuu usiende kulala. huyu Suleiman Rashid ni mkurugenzi pale IFM kijana mkali sana..Itazame hiyo thesis Title imeandikwaje?
"Quality of Information and Behaviour of Risk Around Information Events"
Suleiman Rashid Mohamed PhD (Finance)
That means his thesis is in Finance focusing in Quality of information and the investor behavior towards risk during information events. (Ukitype katika google lazima itakupeleka katika area husika na jamaa kama alipublish papers humo kama hajapublish ndio basi).
Njoo kwa Mathayo PhD (Either Agriculture or Animal Science)
Title- Unknown.
Chuo - Not Clear Free State University or University of Free State? (The first thing in a PhD is to learn about reputation sie tuliosoma masters tunalijua hili nashangaa aliesoma PhD halijui)
Jamani mie naenda zangu kulala usiku mwema nilikuwapo!!!!
Itazame hiyo thesis Title imeandikwaje?
"Quality of Information and Behaviour of Risk Around Information Events"
Suleiman Rashid Mohamed PhD (Finance)
That means his thesis is in Finance focusing in Quality of information and the investor behavior towards risk during information events. (Ukitype katika google lazima itakupeleka katika area husika na jamaa kama alipublish papers humo kama hajapublish ndio basi).
Njoo kwa Mathayo PhD (Either Agriculture or Animal Science)
Title- Unknown.
Chuo - Not Clear Free State University or University of Free State? (The first thing in a PhD is to learn about reputation sie tuliosoma masters tunalijua hili nashangaa aliesoma PhD halijui)
Jamani mie naenda zangu kulala usiku mwema nilikuwapo!!!!
mkuu usiende kulala. huyu Suleiman Rashid ni mkurugenzi pale IFM kijana mkali sana..
Mtoto wa nje ya ndoa wa Msuya huyu Mathayo David akiona moto huu atazidi kukonda.
watanzania tumeamka sio wajinga tena. inawezekana amekata kitu kidogo huko TCU kama ilivyo kwa TBS unaweza kuwa na bidhaaa mbovu ukawapa kitu kidogo wakapitisha bidhaa zako.kama alivyokuwa akifanya bwana Mengi NA MAJI YAKE YA KWENYE CHUPA. au dawa zake za miswaki.
Mkuu analysis zako zimejaa ushabiki na huwezi kuwa mwalimu mzuri
Kwa title ile kila mmoja anaweza kusema anavyoona yeye depending on which discpline you are and what do you know and what you want!
sijaona methodology uliyotumia au uliyonielekeza kuwa kujua tu title ya huyo mkuu, na nikijua chuo basi ndio degree yake iko sahihi? kwako wewe naona the best method ya kujua authenticity ya PhD ya mtu ni iwe kwenye internet??!!!
kwa hiyo vyuo vya malawi, zambia, namibia, achilia mbali DSM ambao PhD zao hawajapost kwenye internet basi ziko fake!! mkuu umeniacha hoi
Ulisema unaweza tu kuona title ya Mathayo na ukagundua kuwa amemaliza kiaina, mimi nikasema si kweli lazima ujue objective, problem statement na hypothesis, achilia mbali scope
Mfano ulioweka umejiweka pazuri kuwa hiyo title inaweza kutumika katika discpline nyingi tu na still kila mmoja akafanya anavyotaka yeye
Hakuna methodology ya kuhakiki reserach ya mtu kwa kujua title tu, kama ulivyotaka tuamini, ulikuwa unachangamsha baraza, we kalale tu
Mathayo bado anaweza kuwa kadanganya , wala siko kumtetea yeye hapa, hizi forum tunajifunza vingi, nilikuwa na hamu unipe hiyo style , ili nikiiona tu title ya mtu nijue kafoji cheti au la! duh! ningejua kuwa hutaweza kuthibitisha nisingeenda mbali hivi
ukisoma tu kuwa;
"Quality of Information and Behaviour of Risk Around Information Events"
Suleiman Rashid Mohamed PhD (Finance)
basi huyu jamaa ana akili sana; au mbovu sana!!!!
ndiyo maana sheikh yahaya anatamba sana
Kweli Weberoya unataka kuniambia kuwa PhD za watu mlimani hazijulikani Title zao??? Na kama hazijulikani basi kwanini wanafanya utafiti??? Kwanini asikurupuke na lijiproject lake akasema kuwa amefanya utafiti katika poverty au finance au wapi kwanini aseme title yake? Hebu nipe hoja zako nikujibu?? na sio kusubiri nikutafunie mie. Mimi sikubaliani na Mathayo hadi anithibitishie hivyo vitu otherwise naweza kusema PhD yake ni questionable na sababu nishazieleza mwanzoni;
a. Chuo gani amesoma Free State University au University of Free State?
b. PhD (Agriculture/Animal Farming)
c. What is the Title (Intensive Farming?, sustainable agriculture etc)?
d. Kuna wadau wanauliza why now???
mkuu usiende kulala. huyu Suleiman Rashid ni mkurugenzi pale IFM kijana mkali sana..
Mtoto wa nje ya ndoa wa Msuya huyu Mathayo David akiona moto huu atazidi kukonda.
watanzania tumeamka sio wajinga tena. inawezekana amekata kitu kidogo huko TCU kama ilivyo kwa TBS unaweza kuwa na bidhaaa mbovu ukawapa kitu kidogo wakapitisha bidhaa zako.kama alivyokuwa akifanya bwana Mengi NA MAJI YAKE YA KWENYE CHUPA. au dawa zake za miswaki.
Nibora zaidi hata akina makongoro Mahanga na wooote muliopata Ph.Ds nje ya nchi musizifiche vyumbani!
Hivi nipe definition ya methodology? nimekueleza katika thread zilizopita namna ya kufahamu umakini wa kazi ya mtu kama umezisoma badala ya kushabikia ni hivi kutwambia umefanya PhD ya Agriculture haitusaidii kitu kutambua ulichokifanya ni kama kutamba nina Masters Degree bila wadau umefanya nini Masters of Law (LLM) au Masters of Science, au Masters of Arts ushanifahamu!!!!
PhD ya Mtu kama Dr Suleiman Mohamed na wengineo hata Professor Lipumba huandikwa Title mzee itusaidie kuipata abstract ya muhusika thesis yake!!! (unless hujui maana ya abstract). Ndani ya abstract ndio utajua objectives za mtu kufanya huo utafiti, findings alizopata ili zitusaidie kufahamu contribution yake katika ulimwengu wa ufahamu (kama unafahamu nini maana ya contribution).
Sasa wewe ukienda kulibandika liPhd lako ubao kuwa
Mfano Weberoya PhD (Farming) then so what!!!! lazima utueleza ulifanya utafiti sehemu gani na watu walio makini hawaogopi kusema kwasababu ukienda utawakuta mkubwa. Watu wenye wasiwasi ndio huficha ficha wanaogopa wasikamatwe.
Kweli Weberoya unataka kuniambia kuwa PhD za watu mlimani hazijulikani Title zao??? Na kama hazijulikani basi kwanini wanafanya utafiti??? Kwanini asikurupuke na lijiproject lake akasema kuwa amefanya utafiti katika poverty au finance au wapi kwanini aseme title yake? Hebu nipe hoja zako nikujibu?? na sio kusubiri nikutafunie mie. Mimi sikubaliani na Mathayo hadi anithibitishie hivyo vitu otherwise naweza kusema PhD yake ni questionable na sababu nishazieleza mwanzoni;
a. Chuo gani amesoma Free State University au University of Free State?
b. PhD (Agriculture/Animal Science)
c. What is the Title (Intensive Farming?, sustainable agriculture etc)?
d. Kuna wadau wanauliza why now???
umemaliza kila kitu hata mimi Kanda2 nimeelewa.naona nikuite Mwalimu Mdondoaji kama kuna email ya Mathayo na TCU tuwatumie ujinga wao waliofanya. labda Waberoye ndio Mathayo mwenyewe.
Naona hapa swali linalotakiwa lijibiwe ni unatumia njia gani au kigezo gani kusema flani hana PhD? Hili suala halijibiwi badala yake wanaingia humu akina Kanda2 bin GT nakuanza kurushia posts zisizo na kichwa wala miguu.
Kamanda PhD ni contribution to the body of literature kama ni sayansi au biashara zote sawa. Sasa tofauti na masters PhD unaanza tangia chini kuokota makaratasi hadi ukatengeneza kitabu ambacho wanataaluma wenzio watakitumia kuendeleza ulipoishia nadhani nimeshafahamika (naogopa kuitwa mjuaji nisameheni kwa niliowakosea mie ni binaadamu).
Sasa ishu inakuja quality ya kazi. Kitu kinachosababisha quality ya kazi yako isilete maana ni kwanza chuo chako husika kwasababu kama chuo hakieleweki tutajuaje hiyo kazi uliifanya wewe na sio mtu mwengine???
Pili Kama chuo dizaini tutajuaje kama hizo data ulizokusanya ni sahihi hasa kama unafanya utafiti wa kisiasa (qualitative research).
Tatu Tukija katika vyuo vya online they are questionable kwasababu wao they are just there to make business they do not care about the quality of the work. Ndio maana Unesco wana buku lao refu la accredited Higher Learning Institution lisaidie kufaa vyuo sahihi kwani vyuo vya chini mti au tovuti vina matatizo yake. Unakuta Chuo Kinaitwa Stanford University of Sweden (Wakati Stanford ipo US). Washington States University of Australia (wapi na wapi). Vyuo hivi mara nyingi vinaanzishwa for those people wanaokwenda ulaya kupata admission za kuombea visa and nothing else. Sasa kama chuo kibiashara unadhani kuna umakini wa PhD let alone hao wahusika wenyewe? But kwakuwa Watanzania tunapenda miteremko watu wanaenda.
Mie binafsi, rafiki yangu aliwahi kujaribu kupeleka kazi yake tukiwa undergraduate pale UD on behalf of mama mmoja alikuwa anasoma post-graduate diploma katika Chuo kinaitwa sijui Washington tukaambiwa yule mama amefaulu vizuri ana Masters. Tulicheka hadi mbavu zikatuuma. haya an asignment tu mtu kapewa masters sembuse dissertation si mtu atapewa PhD kabisa!!!
Nimesoma maelezo yako.
Lakini tuende specifically in context of the current thread. Je, unazo information ku-clarify mtatizo uliopo au methodology ya kujibu swali langu la msingi? Hii itasaidia mjadala kuliko kuongeza counter ya posts kwenye thread bila input ya maana.
Rudia posts za nyuma nimetoa vielelezo vyangu tupatieni majibu basi
Sio UD peke yao Standard PhD Degree Duniani inatakiwa ni 3 years to 4 years maximum. US na China wanaanza na MSC one year kujifunza how to do research na baadae wanafanya PhD for 3 years. Inawezekana ukamaliza PhD but it has to an outstanding piece of work ambapo watu wa Agriculture wanaifahamu sasa nawaulizeni mashabiki wa Mathayo je PhD Thesis title yake inaitwaje? Kwasababu kama ipo kuna watu wataifanyia references tu.
Likewise, Ukifanya PhD lazima panakuwapo na supervisor ambaye alikusimamia je supervisor wake nani? Elimu sio complication mzee bali ni principles ambazo zimewekwa ili zifatwe usichezee taaluma za watu mkubwa
Rudia posts za nyuma nimetoa vielelezo vyangu tupatieni majibu basi
Mh hili si kweli unless ni PhD za kununua but za kusotea ni miaka mitatu au zaidi
Rudia posts za nyuma nimetoa vielelezo vyangu tupatieni majibu basi
Inawezekana akafanya PhD miaka miwili but it has to be an outstanding piece of work mfano paper moja au mbili zilizokuwa publish katika journal za rank ya juu. Sasa hebu tuambieni huyo Mathayo thesis yake title ni ipi au paper gani alizopublish tuzisake tusome alichokiandika otherwise mie naweza kusema amenunua tu PhD, cause one hatujui amefanya PhD ya nini, No one amemreference let alone kupblish, Chuo chenyewe kina wasiwasi. Sasa hapo unadhani conclusion ni nini????
Unadhani mtu akifanya PhD Harvard, Columbia au Oxford au Princeton utamlinganisha na Freetown??? Kwanza accreditation haijulikani ikoje sembuse rankings. Kimsingi Mathayo atupe Title ya thesis, wapi amesoma, watupe supervisor nani (Tukimgoogle tutampata kama yupo), paper alizofyatua genius wetu otherwise this is another propaganda kusafisha waheshimiwa wakagombee kwa amani majimboni mwao!!!
Rudia posts za nyuma nimetoa vielelezo vyangu tupatieni majibu basi
Plagiarism sio PhD kwasababu Plagiarism is taking someones work and pretend as if it is yours na definition ya Plagiarism ni kubwa sana.
PhD kiukweli hasa ni kuwa independent thinker and researcher na basically you are just learning how write your ideas into practice. Sasa usidhani hiyo ni kazi rahisi au kama kusoma units 50 au 20 kwani ukisoma units 50-20 unaweza kuspecialise (kwani sidhani kama unaweza kumaliza zote). Wengine tulipokuwa tunachukua masters tulifanya hivyo hivyo but when it comes to a PhD it is a different issue kwasababu unatengeneza idea zako mwenyewe, unajisomea mwenyewe, unatest ideas zako mwenyewe na findings zako ulizozipata mwenyewe without the help of anyone (That is the definition of an independent thinker).
Sasa kimsingi hilo linawezekana in 2 years but it has to be an outstanding piece of work. Tunaomba title tuwape watu wa agriculture wataijua tu otherwise kawadanganyeni watu wa nyumbani but wengine sisi hatuko pamoja nanyi TCU
Rudia posts za nyuma nimetoa vielelezo vyangu tupatieni majibu basi
Ukiangalia hiyo site inasema 2001-2003 sasa nikuulize alianza 1 Jan 2001 au June 2001 na akamaliza Dec 2003 au June 2003 to me sidhani kama ni relevant kudiscuss muda ishu ni kwamba if you finish early utakuwa umeifanya kazi nzuri na ikakubalika tupe title ya thesis basi
Rudia posts za nyuma nimetoa vielelezo vyangu tupatieni majibu basi
Haya unaona wadanganyika tukijaribu kuwapa picha halisi wanahisi tunausongo na Mathayo. Basi bwana sawa ana PhD na kafanya 2 years yaishe maana sometimes mkifunuliwa ukweli mnaona tunataka kumkosoa mtu wacha tuwaache na ukungu wenu mwishoe mtakuja kuambiwa mtu alifanya PhD miezi sita tu!!! Lijamaa ni lijenius bwana!!!!! Kalagabao