Dr Maro afariki dunia


Ni Kaka wa mama Mkapa, alikuwa Dr wa Mzee Mkapa kipindi cha urais na pia ni dr muhimbili na ana dispensary yake Kkoo.
 
Ni mume wa Violet Maro aliyekuwa mtangazaji wa TBC na pia ni baba wa Balozi wetu mpya aliyeteuliwa juzi kwenda Zambia.
 
Ni mume wa Violet Maro aliyekuwa mtangazaji wa TBC na pia ni baba wa Balozi wetu mpya aliyeteuliwa juzi kwenda Zambia. Poleni wafiwa wote.R.I.P Dr. Maro.
 
Mwenyezi mungu amlipe malipo yanayostahili daktari huyu, nilipokuwa mdogo kwenya miaka ya 1975 na kuendelea mbele kidogo inapokuwa dharura ndogo wazazi wangu walikuwa wananipeleka sana katika kijihospitali chake. Wakati huo hospitali binafsi zilikuwa ya kwake, ya dr koya pale mtaa wa Mkunguni ,
 
Kweli mkuu mi mwenyewe kanishtua sana nilikuja spidi nikijua ni yule wa kcmc
 
Dr. ndiye baba ya balozi mpya nchini Msumbiji Grace Mjuma. balozi huyu kaapishwa mwezi uliopita tu.
 
May all beings attain enlightenment.

Kamanda kuna kipindi in the nineties majambazi yalimvamia alicharazana nayo risasi kama Commando John mpaka mwisho.

Pole sana familia.
 
Inna LILLAh wa INNA ILAIHI RAAJIUU'N

Aise ! nimekumbuka mbaaaali sana ! miaka ya 70 ndio ilikuwa hospital ya private angalau pale maeneo ya Kariakoo au nisema eneo kubwa la DAr, unafika pale unapewa number halafu unakaa kwenye hall , then unaitwa Aisee ...poleni wafiwa Mola Mlezi awajaalie subra katika kipindi hiki kigumu,
 
polen sana. aisee vifupisho hivi vimekuwa common jamvini, msaada wenu tafadhali, nisaidieni nijue maana yake.

Eg. RIP,
 
Namfahamu sana Dr Fanuel Maro, wa mtaa wa Swahili pale kariakoo. Dar.

Mola amlaze pahala panapostahikhi.
 
Lol! Daktari wa miaka mingi pale k'koo... Nimepata kutibiwa pale nikiwa kijana,miaka ya 80 mwanzoni.. Naipa pole nyingi familia yake!
 
RIP Dr Maro.Msiba siyo ishu ya kubeza subirini nanyi zamu yenu msiba usikie kwa mwenzio ukikupata utatia akili na kujua!!
 
jamani huyu dokta ndo tunaondoka kesho kuelekea tela old moshi lala kwa amani babu we wil mis u alot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…