Dr. Makweta, hakika ya tumaini jipya, jimbo la mikumi kupata mbunge makini 2015 -2020

Hakuna Mwingine ni Brendan Maro Mchumi atakayekomboa wana Mikumi.

ANAATOSHA
TWENDE PAMOJA NAYE 2015!
 

Attachments

  • 1432055210703.jpg
    1432055210703.jpg
    45.1 KB · Views: 395
Tungoje kura ya maoni ila kura yangu Na Imani yangu ni Kwa dr salvatory makweta , ni mweledi , Na mtendaji , pia ana uzoefu wa miaka mingi namkumbuka ktk mikutano ya maspika wa vyuo vikuu Tanzania , alitoa mchango mkubwa sana Enzi hizo akiwa SPIKA WA BUNGE LA WANACHUO WA HUBERT KAIRUKI UNIVERSITY !
Kijana huyu anauzika kirahisi jukwaani Na ni msomi mzuri ! Ni vizuri tukapeleka wasomi bungeni ili raisi ajaye wa ukawa asipate Tabu kuunda baraza la mawaziri , ,, nikimwangalia Dr Makweta naona taswira ya waziri wa afya wa ukawa au deputy minister !!
Huu si Wakati wa majaribio , ni wakati wa kuwa strategic Na kuchagua watu wenye uwezo !
Tuache democracy ifanye kazi !!!!!
 
Jay kajenga Chama, nyie ndo mnaanza kubwatuka from nowhere.. Gombeeni udiwani mbunge ni mmoja wengine nendeni kwenye Halmashuri.

Dadangu mbona unachangia kwa jazba sana ? Chama kinajengwa na wanachama wote si mtu mmoja mmoja ! Weka mapenzi kando tuwekee Cv ya jay tulinganishe Na waonyesha nia wengine badala ya kutoa povu !
 
Namkubali sana Dr Makweta , anatosha Na analijua vizuri jimbo la mikumi .
Prof jay eeee yes ila halijui jimbo la mikumi vizuri . Pengine angeandaliwa kwenda kugombea Songea mjini badala ya mikumi .
Tuache demokrasia ichukue mkondo wake,bila shaka wana wa mikumi wanajua ni nani anawafaa zaidi miongoni mwa watia nia.
 
Jay kajenga Chama, nyie ndo mnaanza kubwatuka from nowhere.. Gombeeni udiwani mbunge ni mmoja wengine nendeni kwenye Halmashuri.

Dadangu mbona unachangia kwa jazba sana ? Chama kinajengwa na wanachama wote si mtu mmoja mmoja ! Weka mapenzi kando tuwekee Cv ya jay tulinganishe Na waonyesha nia wengine badala ya kutoa povu !
sembuli ndugu yangu,
Nyie ndo mnataka ubunge?
Una uhakika manu ni dada?
usivamie social network, zina taratibu zake, ebo!
kwani ukitumia title ya jumla km mkuu, kiongozi etc utapungukiwa nini?
mtatutia aibu bungeni kaeni kwanza mjipange kwa 2025, kwa sasa hapana!
 
Last edited by a moderator:
Hakika ni jimbo linaoonekana kuwa watia nia kwa tiketi ya CDM yaonyesha wamekwiva kielimu...haswa kwa hizo Academically qualifications kama DR so and so.Mimi ni msomi nasina chama cha siasa...Lakini kana mmoja kati ya watajwa yeye ni Profesa wa shahada ya Maisha kiuhalisa nae ni Mwanalizombe Pro Jospeh Haule Mti Mkavu auchimbwi dawa.Pamoja nakwamba mimi ni msomi na age mate wa Pro...kwa mtu yoyote wa kizazi cha rika la Pro J hakika Uprofesa kwa angle yake ni halali.

Huyu jamaa its my life toka enzi ya kundi la Hard Brasters Mwokozi nitoe roho niepuke hili balaa maisha nilichezea leo hii nalala njaa [Alishape Maisha ya vijana wengi sana wa Taifa hili kwa nyimbo zake zenye vionjo vya kuelimisha mno] zama hizo zote mpaka kuja kuwa solo kwa jina la Profea Jay.Tumeburudishwa na kufundishwa maalifa ya maisha na kisiasa na ata uchumi kwa jumbe kali za kihip hop na hatimae kama kizazi cha ujana miaka ya late 90s leo ni watu wazima kuanda future ya watoto wetu.

Kwenye sana ya mziki Sugu alianza lakini enzi ya sugu bado wazazi ambao leo ni mababu walitubana sana kusikiliza nyimbo za Sugu, kumsikiliza Sugu ilikuwa ni kosa kubwa sana kwa kuwa alikuwa ni muasisi wa mziki wa hio hop soko la Tanzania lakini wazazi wetu waliona kumsikiliza mziki wa SUGU ni kama uhuni fulani kumbe sivyo.Hivyo ikawa ni weka mbali na watoto...basi unachukua tape yako wakati uko likizo home Mzee akishatimua kuelekea JOB wewe na Sugu tu kazi yako kutega sikio kusikiliza Msure wakati huo tunaita Dingi anaingilia mlango wa wapi uwai kutoa kanda yako kwenye Radio yake.

Ujio wa Pro Jay ulibadilisha game ya muziki wa Sugu na kina Kwanza Unity na wengineo..kama kina Dola Solou na akaja kuwaaminisha Wazazi wa wakati ule [Mababu wa Leo-amabao wengine mpaka leo Wako Bungeni na Ofisi za serikali] kwamba mziki si uhuni na hasa mziki wake wa ''Mwokozi''.Leo hiii hakuna mzazi asiye fahamu nyimbo baadhi za SUGU ...kama vile ''Niko Mikononi Mwa Polisi maisha yangu yote ni mikosi-kitikio afande'' na Nyimbo kadha wa kadha za Pro ''Ndio Mzee'' ambazo zimepigwa mara nyingi sana kuhamasisha chaguzi.

Leo hii ni fursa akapimwa nae kama SUGU alivyoweza kuvaa viatu vya Wanambeya.Wanamikumi mpeni Pro...hakika kipimo ni SuGU.
 
jawabu kwako MANU na kwa faida ya wengine

kama kwako kigezo cha kujenga chama ni muhimu, basi wewe ni mtu makini, ulichobakiza ni kuutafuta ukweli kuhusu Jimbo la mikumi ambao kwa muda mrefu haukupatikana ktk mitandao ya kijamii. lakin uko waazi KULE MIKUMI KWA WANA MIKUMI.

Unadhani tu, bila kutafiti na kujua( hii ni hatari kwa vijana) Mikumi haijaanza leo, wala mwaka 2014 ambapo watu wengi wameweka nia kutaka ubunge mikumi.

Naamini wewe si mwana Mikumi, waulize wana mikumi wakupe ukweli, hakika na bayana ya mambo ya Ujenzi wa chama Mikumi.
tulikuwa wachache tulipopambana Mikumi hasa kata ya Ruaha nyumbani alikozaliwa Dr. makweta, baadhi yetu wakafungwa tukazilea famila zao, tuka wafariji gerezani hadi walipokuwa huru.
tulikuwa wachache Mikumi tulipokimbizana na hila za maccm katika chaguzi ndogo kadhaa Raha na Masanze. sasa tumekuwa wengi.
tulikuwa wachache wakati Mikumi ilikuwa haitutoshi kutawanya kadi kwa wanachama wapya weengi sana. miaka ya 2011, 2012. 13 na 14. tulikuwa wachache tuliposaidiana kutatua matatizo ya wana MIKUMI Waliodhulumiwa mashamba yao Kilangali na milimani Ruaha na nyamvisi tulikuwa wachache, sasa tupo wengi.
namshukuru Mungu aliyetufanya kuwa wengi. na wengi wao hawakuwepo siku zile. sasa wapo. umoja ni nguvu acha waje waje waje zaidi. iwe nguvu kubwa zaidi. ila ACHENI KUKURUPUKA, kama untafuta wenyeji wa Mikumi utawapata. Mikum ni Jimbo japo kata moja wapo initwa Mikumi pia. karibu kwetu Mikumi.

MIKUMI IMEANZA KUJENGWA KIMAGEUZI ZAMANI, MIKUMI IMEJENGWA NA WALIO ANZA NA WALIOKUJA WANAONGEZA NGUVU TU.
Asnte.
 
Dr Makweta a.k.a sauli mkweli nimesoma andiko lako japo kichwa cha habari akifanani na ulichokiandika! sasa mim ni mpiga kura wa jimbo la mikumi najua umejipigia promo, kwa taarifa yako hakuna wa kumzuia prof J utake usitake
 
"Unapodhamiria kuwa KIONGOZI wa watu, USIKIVU na KUJITOA kwa ajili ya WATU ni KARAMA MUHIMU!"
Brendan Maro mmoja wa waliotia nia kwenda kulikomboa jimbo la Mikumi akipokea Nasaha kutoka kwa Comred Mwakabete, Mwenyekiti wa Chama cha Walemavu Tanzania (CHAWATA)
 

Attachments

  • 1432155528491.jpg
    1432155528491.jpg
    54.3 KB · Views: 119
Wana mikumi tusipoteze nafasi adimu ya kufanya maamuzi,huyu mchumi brendan maro ni mtu sahihi sana kwa maendeleo ya jimbo letu,najua watakuja watu wa kila aina lakini je wanayajua matatizo ya wana wa mikumi??kwani shida yetu ni msanii!!au daktari?? hapana kiuchumi tupo nyuma sana tunaitaji mtu wa kututoa hapa tulipo,tumwamini mchumi aliyebobea brendan maro, anaweza

cc.c.alkard
 
We sauli mkweli ni mwongo mkubwa!
Mbona umeacha mmoja anayetaka kuonesha nia, je Brendan Maro wa TIC unamweka wapi? Usidhani JF ni viduku vyenu vya FB Kucha kulishwa matango pori!

So far hebu nipe elimu ya huyo unayesema Dr. Makweta maana nijuavyo mm huyo ni medical assistant, huo udokta umetoka wapi? Au ndo maisha ya vijijini hata muuza duka la dawa ni Dokta.

Lete qualification zake tumechoka kuongozwa na design za kina Prof. Deep water!

Cc . Illovo

Hakuna kada au level medical ya assistant kwenye sekta ya afya usikurupuke na data za kizamani!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom