Umenufaika nini wewe hasa maana tuangalie maendeleo pande zote kwa MTU mmojammoja na serikali pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu toa mifano ya huko kupiga kazi kwake na matoke yake (faida na hasara zake) kwa sisi raia na taifa.Hayo sijui,ninacho jua ni kuwa JPM anapiga kazi hakuna mfano wake,,,
Soma vizuri title ya mada.JF mada za kumsema Magufuli na Makonda ziko nyingi kwasababu wanagusa maslahi ya watu na wanahitaji Ku change hii nchi.
Yeye mwenyewe (Magufuli) ni fisadi! Actually, kwa taifa la watu wenye kujielewa hakupaswa kuwa Ikulu. Alipaswa kuwa jela pamoja na mafisadi wenzake wote.
Anapambana nao vipi ilhali mahakama ya ufisadi inapiga miayo tu kwa kukosa wateja? Atapambana vipi bila ya yeye mwenyewe kuwajibika Kwa ufisadi alioufanya?Ni afadhali Magufuli kajitolea kupambana na ujinga huu.