Dr. Magufuli Regime against Kakobe perception

Dr. Magufuli Regime against Kakobe perception

Mungu huweka viongozi atamaaniye kazi ya uaskofu atamani kazi oliyo njema, uliona wapi utaratibu wa kuwekwa uaskofu.
Kwenye biblia yako umemsoma papa?
Kwahiyo Zakaria alijitathmini. akajipima akaangalia level ya uelewa ya kondoo zake akina jspmsl then " akajitwisha" uaskofu! Hongereni.
 
Hakuna taasisi isiyo ya kiserikali ambayo haiwez kufutwa.
Kama unataka kuegemea kweny hilo, basi yaonekana fika kuwa umelewa mvinyo ulo-expire.
Makanisa yote yanaweza kufutiwa usajili
Vyama vya siasa vyote vinaweza kufutiwa usajili
Taasisi nyingine zote (NGOs) zinaweza kufutiwa usajili
Ni suala la nani ameshika mpini na ana nguvu ipi

Kwa maana hiyo, hata kanisa lako linaweza kutishwa, na lisifanye lolote.
Si mjaribu kufuta, muone kitakachowapata? Unafikiri Kanisa ni maandishi ya chaki ubaoni, unachukua duster, unafuta tu? Mnarukaruka tuuu, miaka yote hii; tutafuta Kanisa, tutafuta Kanisa! Mara Tanesco, mara Tanroads, mara TRA, mara takataka gani, sijui. Wapuuzi kabisa. Waulizeni Warumi watawaambia nguvu ya Kanisa. Kamtu kamoja tu kamepangishwa kwenye majengo ya wananchi pale Barack Obama Avenue(hakajui hata uchungu wa kodi), eti, "nitafuta Kanisa"; WEWE!
 
Dalili za kuishiwa hoja!
5065557ac92bc87fe2ee7cbb17f28d1d.jpg
 
Leo nimejumuika na Waumini wenzangu katika Dominica ya 3 mwaka B parokia ya Chuo kikuu Dodoma kigango cha mtakatifu John Fisher School of social Science,Neno kuu lilikua "TUBUNI NA KUIAMINI INJILI"
Nikakumbuka saga la namba moja wetu pale juu na Baba Askofu Kakobe pale ambapo watawala wanakosolewa na kudai Viongozi wa Dini wanaingilia mambo ya Siasa.

Kwa kweli mkatubu tu Mungu anampenda anaejishusha.

Nawasilisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom