Dr. Magufuli Regime against Kakobe perception

Dr. Magufuli Regime against Kakobe perception

Mimi sina shaka na cheo chake cha Uaskofu ninachokataa nikumuita Baba wakati Biblia inakataza,naweka ushahidi kwa lugha mbili.....
Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.
And call no man your father upon the earth: for one is your Father, which is in heaven.
Mkuu naomba kuuliza 'sasa na wazazi wetu wa kiume tunakosea kuwaita baba'
Huyo yohana mbatizaji fake anachanganya siasa na dini. Ameipenda siasa kuliko Mungu wake.
 
Hahahaa...!!!!... Kasome sheria ya vyama vya siasa uone kama chama dume kinaweza kufutiwa usajili halafu eti " makanisa" yote wewe inaelekea umelewa mbege!
Kumbe unaangalia chama kinachoongoza
Basi akili yako inakutosha wew mwenyewe.
 
Mimi sina shaka na cheo chake cha Uaskofu ninachokataa nikumuita Baba wakati Biblia inakataza,naweka ushahidi kwa lugha mbili.....
Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.
And call no man your father upon the earth: for one is your Father, which is in heaven.
Watu wengine mnashangaza sana.
Unairejelea biblia kukataa kumwita Kakobe baba...wakati huo huo kuna mtu aliyekuzaa unamwita baba, na wala hujiulizi bibliw inasema nin kuhusu hilo...
Ila kwa kakobe ndio nongwa
 
Watu wengine mnashangaza sana.
Unairejelea biblia kukataa kumwita Kakobe baba...wakati huo huo kuna mtu aliyekuzaa unamwita baba, na wala hujiulizi bibliw inasema nin kuhusu hilo...
Ila kwa kakobe ndio nongwa
Mkuu toa ushaidi hoja upingwa na hoja,kumbuka asira ukaa vifuani mwa wapumbavu.
 
Atakuwa mjumbe wa baraza la maaskofu Tanzania!!!! Baraza gani hilo mkuu, mbona hilo jukwaa silifahamu? Mimi najua TEC ( Tanzania Episcopal Conference) ambalo ni jukwaa linalowakutanisha maaskofu wa majimbo yote Tanzania kwa wakatoliki, kama kuna jukwaa ambalo Askofu Kakobe , askofu gwajima etc ni wajumbe wake hebu tujuzane.
Askofu Kakobe ni mjumbe wa Jumuiya ya Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT)
Na wajumbe wa jumuiya hii ni viongozi wakuu wa makanisa ya kipentekoste ambao wengine wanaitwa ASKOFU fulani (mfano askofu Fernandez wa Agape)

Ndio maana nilisema hata iweje, kakobe ataendelea kuitwa Askofu, na kwa heshima ya kiongozi wa dini mweny wadhifa wa askofu, waumini wake humwita Baba Askofu.
Tunaona hata wachungaji wa matawi ya hayo makanisa wanaitwa na waumini wao Baba Mchungaji
 
Mkuu toa ushaidi hoja upingwa na hoja,kumbuka asira ukaa vifuani mwa wapumbavu.
Ni mpumbavu pekee anayeweza kukasirika kwenye mjadala.
Mim nili-tag comment yako juu ya kupinga kumwita mtu BABA hapa duniani, kwa kigezo kuwa biblia inakataa. Uko sawa kwa hilo.

Lakini nimeshangazwa pia coz kila siku kuna mtu unamwita baba, na popote uulizwapo juu ya baba yako, nina hakika huwa humtaji MUNGU, badala yake unamtaja huyo aliyekuzaa.
Sasa, kam wew unamwita mtu huyo baba, na si mungu wako...iweje ukataze kwa Kakobe???
 
Askofu Kakobe ni mjumbe wa Jumuiya ya Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT)
Na wajumbe wa jumuiya hii ni viongozi wakuu wa makanisa ya kipentekoste ambao wengine wanaitwa ASKOFU fulani (mfano askofu Fernandez wa Agape)

Ndio maana nilisema hata iweje, kakobe ataendelea kuitwa Askofu, na kwa heshima ya kiongozi wa dini mweny wadhifa wa askofu, waumini wake humwita Baba Askofu.
Tunaona hata wachungaji wa matawi ya hayo makanisa wanaitwa na waumini wao Baba Mchungaji
Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.
And call no man your father upon the earth: for one is your Father, which is in heaven.
 
komuniooo.
Awa wakatoliki kwenye neno LA Mungu wako 0 wao wameshika mapokeo ya mapadri hawajui kuwa kwenye Biblia ata neno padri halimo.Wakati mwingine utamani kuwaita mawakala wa shetani.Wakatubuu tu hakuna namna.
Hao waliokaririshwa bikira Maria kapaishwa mbinguni?
 
Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.
And call no man your father upon the earth: for one is your Father, which is in heaven.
Unajua hakuna mtoto anayezaliwa paspo ushirika wa Mungu kwaiyo Baba yako mzazi ana ushirika na Mungu kwahiyo baba mzazi anamwakilisha Baba wa mbinguni.Ndomaana Mungu asipotaka uitwe baba anakunyima mtoto.Nadhani tumeelewana mkuu.
 
Watu wengine mnashangaza sana.
Unairejelea biblia kukataa kumwita Kakobe baba...wakati huo huo kuna mtu aliyekuzaa unamwita baba, na wala hujiulizi bibliw inasema nin kuhusu hilo...
Ila kwa kakobe ndio nongwa
Na kuna mwingine haitwi tu baba, bali baba mtakatifu na husikii akisemwa
 
Hilo daraja la Askofu alilipata wapi, alipewa kwa utaratibu gani na aliwekewa mikono na nani?!!!......Na tena ni mjumbe wa baraza gani la maaskofu?!! Karibu.
Nini tafsiri ya neno Askofu? Ukishajua njoo uendelee kubishana!
 
Hilo daraja la Askofu alilipata wapi, alipewa kwa utaratibu gani na aliwekewa mikono na nani?!!!......Na tena ni mjumbe wa baraza gani la maaskofu?!! Karibu.
Una matatizo kutosoma biblia na kulishwa maneno na warumi una hasara ya ujinga wa mambo ya rohoni
 
Hakuna mtu aliyeumbwa na Mungu jina lake Eva.
Hapa nd unaonesha jins gani umekaririshwa na katekista wako.
Mwanamke aliyeumbwa hapa duniani ni Hawa pekee, wengine wote walizaliwa.
Na hiyo Mwanzo unayosema, hakuna mtu anaitwa Eva aliyeumbwa kwa ajili ya Adam.
Rudi kafanye mafundisho ya komonio

Joseph, Yusuph, Yusuf, Yozef ni jina moja ni lugha tu na namna ya kuandika ndo tofauti. Usikariri kijana, elewa.
 
Askofu Kakobe ni mjumbe wa Jumuiya ya Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT)
Na wajumbe wa jumuiya hii ni viongozi wakuu wa makanisa ya kipentekoste ambao wengine wanaitwa ASKOFU fulani (mfano askofu Fernandez wa Agape)

Ndio maana nilisema hata iweje, kakobe ataendelea kuitwa Askofu, na kwa heshima ya kiongozi wa dini mweny wadhifa wa askofu, waumini wake humwita Baba Askofu.
Tunaona hata wachungaji wa matawi ya hayo makanisa wanaitwa na waumini wao Baba Mchungaji
Hapo sawa! Mimi sikuwa na shida na uaskofi wa Bishop Zacharia Kakobe namjua kama askofu na namuheshimu sana kama askofu. Nilitaka tu uweke hapo sawa na umeiweka vilivyo
 
Hata Catholic, Lutheran, Moravian, Anglican, Jehovah Witness, Jeshi la wokovu nk nk, zote hizo ni NGOs tu za kiimani zenye kutoa huduma za kiroho!!

Tofauti hapa ni ukubwa, ukongwe na Asili ya kila NGO. Kama ulikuwa huelewi hilo, then it's your golden opportunity to put that in your head, dude.... Right!?

Na by the way, ndiyo maana nilikutaka utumie akili yako huru kujielimisha na kujisomea na si kupokea na kukaririshwa tu mkubwa na kuja kumwaga upupu wako humu!!
Hujajibu swali?.... Kakobe Zakaria aka mzee wa Edition Mulanga studio ana Kanisa?
 
Joseph, Yusuph, Yusuf, Yozef ni jina moja ni lugha tu na namna ya kuandika ndo tofauti. Usikariri kijana, elewa.
Biblia ni neno la kiswahili.
Biblia unayoitumia ni ya kiswahili pia...
Sasa, funua mwanzo, usome majina ya walioumbwa na Mungu. Ukikuta jina Eva, basi njoo PM, nipe namba yako, then takutumia 50000 ya usumbufu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom