Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 8,202
- 14,122
Mkuu naomba kuuliza 'sasa na wazazi wetu wa kiume tunakosea kuwaita baba'Mimi sina shaka na cheo chake cha Uaskofu ninachokataa nikumuita Baba wakati Biblia inakataza,naweka ushahidi kwa lugha mbili.....
Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.
And call no man your father upon the earth: for one is your Father, which is in heaven.
Huyo yohana mbatizaji fake anachanganya siasa na dini. Ameipenda siasa kuliko Mungu wake.


wao wameshika mapokeo ya mapadri hawajui kuwa kwenye Biblia ata neno padri halimo.Wakati mwingine utamani kuwaita mawakala wa shetani.Wakatubuu tu hakuna namna.