Dr. Magufuli: Genius anayepambania urais

Dr. Magufuli: Genius anayepambania urais

baro

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2014
Posts
3,328
Reaction score
4,516
Episode 1

Dr John Pombe Maghufuli, mgombea urais kupitia CCM ni mgombea mwenye haiba ya kipekee kati ya wagombea wote katika uchaguzi mkuu Wa 2015, uwezo wake Wa kiuongozi umeanza muda mrefu kwa kujipambanua kila wizara anayopewa kuiongoza tangu aingie kwenye siasa 1995
Ni mwanasayansi nguli aliyeleta mapinduzi ya kujenga barabara toka tupate uhuru

Ni mwanasiasa alieingia kwenye rekodi ya CCM kwa kushinda kura nyingi kwenye Mkutano Mkuu,

Ni mwanasiasa mwenye Akili nyingi za kuzaliwa (genius) , hii limethibitishwa pia na kipindi maalum cha historia yake kilichorushwa na ITV siku ya jumatano saa 3:15 Usiku

Ni mzalendo Wa kweli asiyetiliwa shaka na uadilifu wake ni grade A

Ni kiongozi mwenye kuthubutu na kusimamia anachokiamini, na ni kiongozi mwenye muono Wa mbali

Ni kiongozi atakaeingia kwenye historia ya kuitoa Tanzania kutoka nchi ya kundi maskini kwenda uchumi Wa kati na kuingia katika nchi tajiri Afrika


Ni kiongoz anaependwa kukumbukwa kwa mazuri aliyofanya na atafanya hivyo

Ni kipenzi cha Watanzania wengi na kawekeza kwenye mioyo ya watanzania kumkubali sana katika uchapakazi wake


WAPINZANI WAKE KWA UJUMLA

Ni watu wababaishaji na wasio na ueledi na uelewa Wa mambo
Ni watu wenye fani za sanaa na maonyesho kiufupi mazingaombwe

Ni watu wasio na dira wala dhamira Bali tamaa na ufisadi uliotukuka

Ni watu wasiojua Tanzania inataka nini ila wanaangalia wao wanataka nini

Ni vilaza kimawazo na kimtazamo kwani hawawez kusimamia jambo kwa muda mrefu Bali tamaa ya pesa

Ni watu wasiokuwa na uwezo Wa kusoma alama za nyakati Bali alama za kununuliwa


Asanteni ,,,,,itaendelea episode 2
 
Wakiitwa PhD na yeye ataenda
Ivi kuna mtu anasoma PhD teana ya Science alafu ni waziri
embu tuache ushabiki
Nakumbuka nilipokuwa nachukua PhD yangu hata kitanda nakisahau alafu leo hii mtu anakuja
eti kasoma rusting technology tena akiwa waziri it is not that easy!!!
 
Episode 1

Dr John Pombe Maghufuli, mgombea urais kupitia CCM ni mgombea mwenye haiba ya kipekee kati ya wagombea wote katika uchaguzi mkuu Wa 2015, uwezo wake Wa kiuongozi umeanza muda mrefu kwa kujipambanua kila wizara anayopewa kuiongoza tangu aingie kwenye siasa 1995
Ni mwanasayansi nguli aliyeleta mapinduzi ya kujenga barabara toka tupate uhuru

Ni mwanasiasa alieingia kwenye rekodi ya CCM kwa kushinda kura nyingi kwenye Mkutano Mkuu,

Ni mwanasiasa mwenye Akili nyingi za kuzaliwa (genius) , hii limethibitishwa pia na kipindi maalum cha historia yake kilichorushwa na ITV siku ya jumatano saa 3:15 Usiku

Ni mzalendo Wa kweli asiyetiliwa shaka na uadilifu wake ni grade A

Ni kiongozi mwenye kuthubutu na kusimamia anachokiamini, na ni kiongozi mwenye muono Wa mbali

Ni kiongozi atakaeingia kwenye historia ya kuitoa Tanzania kutoka nchi ya kundi maskini kwenda uchumi Wa kati na kuingia katika nchi tajiri Afrika


Ni kiongoz anaependwa kukumbukwa kwa mazuri aliyofanya na atafanya hivyo

Ni kipenzi cha Watanzania wengi na kawekeza kwenye mioyo ya watanzania kumkubali sana katika uchapakazi wake


WAPINZANI WAKE KWA UJUMLA

Ni watu wababaishaji na wasio na ueledi na uelewa Wa mambo
Ni watu wenye fani za sanaa na maonyesho kiufupi mazingaombwe

Ni watu wasio na dira wala dhamira Bali tamaa na ufisadi uliotukuka

Ni watu wasiojua Tanzania inataka nini ila wanaangalia wao wanataka nini

Ni vilaza kimawazo na kimtazamo kwani hawawez kusimamia jambo kwa muda mrefu Bali tamaa ya pesa

Ni watu wasiokuwa na uwezo Wa kusoma alama za nyakati Bali alama za matumbo yao
Point tupu! Mungu akubariki.Wewe ni miongoni mwa watanzania wengi wanaojitambua. Achana na hao vilaza wachache.
 
Episode 1

Dr John Pombe Maghufuli, mgombea urais kupitia CCM ni mgombea mwenye haiba ya kipekee kati ya wagombea wote katika uchaguzi mkuu Wa 2015, uwezo wake Wa kiuongozi umeanza muda mrefu kwa kujipambanua kila wizara anayopewa kuiongoza tangu aingie kwenye siasa 1995
Ni mwanasayansi nguli aliyeleta mapinduzi ya kujenga barabara toka tupate uhuru

Ni mwanasiasa alieingia kwenye rekodi ya CCM kwa kushinda kura nyingi kwenye Mkutano Mkuu,

Ni mwanasiasa mwenye Akili nyingi za kuzaliwa (genius) , hii limethibitishwa pia na kipindi maalum cha historia yake kilichorushwa na ITV siku ya jumatano saa 3:15 Usiku

Ni mzalendo Wa kweli asiyetiliwa shaka na uadilifu wake ni grade A

Ni kiongozi mwenye kuthubutu na kusimamia anachokiamini, na ni kiongozi mwenye muono Wa mbali

Ni kiongozi atakaeingia kwenye historia ya kuitoa Tanzania kutoka nchi ya kundi maskini kwenda uchumi Wa kati na kuingia katika nchi tajiri Afrika


Ni kiongoz anaependwa kukumbukwa kwa mazuri aliyofanya na atafanya hivyo

Ni kipenzi cha Watanzania wengi na kawekeza kwenye mioyo ya watanzania kumkubali sana katika uchapakazi wake


WAPINZANI WAKE KWA UJUMLA

Ni watu wababaishaji na wasio na ueledi na uelewa Wa mambo
Ni watu wenye fani za sanaa na maonyesho kiufupi mazingaombwe

Ni watu wasio na dira wala dhamira Bali tamaa na ufisadi uliotukuka

Ni watu wasiojua Tanzania inataka nini ila wanaangalia wao wanataka nini

Ni vilaza kimawazo na kimtazamo kwani hawawez kusimamia jambo kwa muda mrefu Bali tamaa ya pesa

Ni watu wasiokuwa na uwezo Wa kusoma alama za nyakati Bali alama za kununuliwa


Asanteni ,,,,,itaendelea episode 2

Point tupu!! Mungu akubariki. Wewe ni miongoni mwa watanzania wengi wanaojitambua. Achana na hao vilaza,wanafikiria matumbo yao tu.
 
Wakiitwa PhD na yeye ataenda
Ivi kuna mtu anasoma PhD teana ya Science alafu ni waziri
embu tuache ushabiki
Nakumbuka nilipokuwa nachukua PhD yangu hata kitanda nakisahau alafu leo hii mtu anakuja
eti kasoma rusting technology tena akiwa waziri it is not that easy!!!

Akili kama nywele, zako ni tofauti au ulitia kanta!
 
haya maneno yenu yote yataisha mwezi wa kumi. ukitaka kuamini hilo, vaa tshirt au gauni la kijani lenye maandishi ya ccm halafu pita kariakoo au mtaani utapata jibu....wenzako wanapovaa hayo manguo ya kijani wanavaa pia helmet kuzuia kurushiwa mawe. watu wameichoka ccm kuliko kitu chochote kile hapa duniani, ndio maana wako tayari kwa lolote hata kupokea watu toka kwenu ili tu kuiondoa ccm. mjiulize, kwanini watu wamewachoka kiasi hiki? mtawadharau watanzania hadi lini?mbona mnawafanya watz wa miaka ile ndio wa miaka hii kana kwamba ni mabulula?
 
wakiitwa phd na yeye ataenda
ivi kuna mtu anasoma phd teana ya science alafu ni waziri
embu tuache ushabiki
nakumbuka nilipokuwa nachukua phd yangu hata kitanda nakisahau alafu leo hii mtu anakuja
eti kasoma rusting technology tena akiwa waziri it is not that easy!!!
kusoma ni uwezo wa mtu na ndiyo maana kuna wanoweza kuwa wazuri katika eneo fulani na wengine hawana. Uwezo wa magufuli na wako ni tofauti kukesha unasoma siyo hoja bali uwezo kichwani
 
Wakiitwa PhD na yeye ataenda
Ivi kuna mtu anasoma PhD teana ya Science alafu ni waziri
embu tuache ushabiki
Nakumbuka nilipokuwa nachukua PhD yangu hata kitanda nakisahau alafu leo hii mtu anakuja
eti kasoma rusting technology tena akiwa waziri it is not that easy!!!

Majibu yako hayashabihiani na holder wa PHD
 
Wakiitwa PhD na yeye ataenda
Ivi kuna mtu anasoma PhD teana ya Science alafu ni waziri
embu tuache ushabiki
Nakumbuka nilipokuwa nachukua PhD yangu hata kitanda nakisahau alafu leo hii mtu anakuja
eti kasoma rusting technology tena akiwa waziri it is not that easy!!!

wewe ni kilaza ndo maana ulikuwa unakesha, wenzako tunasoma phd huku tumepiga konyagi+grants na tunatusua, ndio ninyi hata "driving" mnapelekwa boarding.
 
Namkubali sana Mzee Lowassa. Ni mtu wa kazi hasa. Ila nawashangaa pia wanaomdharau Magufuli. Huyo naye ni mashine kubwa sana. Compromise waliyofanya Chadema na Ukawa kiitikadi inaonyesha wanajua hilo.Hapa nadhani sio wote wanaoona hilo kwa sasa.
 
Hivi wewe unajua Genius kweli?. Genius anatumiaga njia ya mkato?. Ukitaka kujua siyo genious, check historia yake, ilibidi asome kwanza Diploma ya Ualimu alafu ndio aende Chuo kikuu, 'Mature Age Entry'. Wenzake walioenda huo direct utawaitaje!?. miungu au?. Shame on you. Hii peke yake inaonyesha kuwa ni mtu ambaye anastruggle sana kuelewa mambo.

Pia ukimcheki kelele nyingi na ubabe kuliko hoja, hii inamaanisha kukosa uwezo na hivyo kupiga kelele ili usikike kuwa na wewe umeo...wazungu wanasema'the loudest in the room is the weakest one'. Hebu tafuta hotuba zake umsikilize. Mweupeeeeeee. Peeee.
 
Wakiitwa PhD na yeye ataenda
Ivi kuna mtu anasoma PhD teana ya Science alafu ni waziri
embu tuache ushabiki

Nakumbuka nilipokuwa nachukua PhD yangu hata kitanda nakisahau alafu leo hii mtu anakuja
eti kasoma rusting technology tena akiwa waziri it is not that easy!!!
Secretary of Energy (Waziri wa Nishati wa Marekani), Professor Ernest Moniz ana Ph.D ya Physics, ana nishani ya Nobel katika Physics na alikuwa Professa wa muda mrefu sana wa Phyiscs hapo MIT.
 
lowasa alishamaliza mchezo zamani,sasa nyie na huyo magufuli wenu mmekurupuka juzi tu,mnataka awe rais.
mtapigwa asubuhi na mapema tu.
 
Back
Top Bottom