najua na nimesoma IR/International Relation/na nimefundishwa na nguli toka chuo cha taifa udsm prof Muhabe Nyirabu!
Km Tanzania ingekuwa kiti kiko wazi ndo ungekuja kuleta povu lako,Lakin mwakilishi Mahiga yupo!
Kikwete alikuwa anaenda kila event mpaka birthday part ww mwananchi imekusaidia nini mpaka sasa?
Look here.. Sijasoma intl relations lakini Sipo Dull kama wewe uliyesomea..
Kwenye hizi meetings ndio Mkuu wa Nchi anapoweza kukutana na Viongozi wengine na kuweka ajenda za Nchi yake kwa mataifa mengine..
Kunakuwa na opportunity za kufanya meetings za one on one na Viongozi mbalimbali wanaokuwa kwenye hizi meetings..
Kwa elimu ndogo tu, ni rahisi kwa Mahiga kukutana na Chancellor Angel Merkel wa Ujerumani au kwa JPM ndio rahisi zaidi, let's say pale UN??
Usiulize kwangu kama raia inanisaidia nini.
Tunazungumzia faida itakayoipata Nchi.
Mfano mdogo tu, JK alimconvince Rais wa Turkey alipo meet nae UN (on one on one) ili aruhusu kuwe na direct flight ya kutoka Instanbul to Dar ili kukuza Utalii wa Tanzania.
Mpaka leo hii ndege ya Turkish Airline ina operate directly from Instanbul to Dar nafikiri karibu mara 4 kwa wiki. Huu ni mfano mdogo tu.
Tunasema Wachina ndio Development Partners wetu wakubwa kwa hivi sasa.
Lakini Rais huyu hajawahi kukutana na Kiongozi yeyote wa China wa level ya juu pamoja na China kumtumia mualiko zaidi ya mara 2.
Wewe unaona ni sawa hiyo??
Na Kenya hivi sasa wametupiku.
Ndio Nchi nafikiri inayoongoza kufadhiliwa miradi yao mingi na China.
Kenyatta ameshakwenda China mara 2.
Na alienda SA kwenye mkutano wa China na nchi zote za Africa akatoa bonge ya speech, anamaliza ile speech Rais wa China akampa "Standing Ovation" na akapata mualiko wa kwenda China na kuifungua Kenya zaidi kwa investors wa China.
Tanzania kwenye huu mkutano wa China na mataifa ya Africa alienda Majaliwa. Alichoongea anajua mwenyewe na boss wake.
Labda angeenda kwenye mikutano kama hii huko nje ndio fursa kubwa zaidi kwa Nchi zingefunguka.
Kuna safari MUHIMU ambazo kama Mkuu wa Nchi lazima azifanye. This is especially kwa hizi Nchi zetu za Dunia ya tatu.