tunachohitaj watz sio history iliyopita tunachohtaji watanzania ni kumake new history,hata akiwa anajua kiundani muungano haitasaidia kwenye kubadili hali ya nchi yetu....awe alikua mwnykt wa shina au awe co mwnykt wa shina as long as atatupeleka tunapopahtaji he worth to be our leader
Magufuli ni moto mwingine huyo fisadi wenu hafui dawa Lowasa arudi tu kwenye ishu zake za madawa ya kulevya na ufisadi.
Huyu ni hasara kwa taifa,Mgombea gani anateuliwa watu wanalia?
Bora hata Prof kitila tumeona analiliwa.Japo ni movie!!!
Kimaingi Ilani ya chama ndo vision ya kwanza na yamsingi kabisa katika kuletea nchi mabadiliko,,then mitazamo ya mgombea ni nyongeza na ndo mana Ilani ya CCM ina kila kitu unachodhani kina hitajika kwa sasa kinachotakiwa ni mtu makini atakaye weza kuisimamia na huyo si mwingine bali ni JPM..poleni nyinyi ambao hata ilani yenu haijulikani mnategemea kuongozwa kwa maono ya lowasa,,maono ya kuwajali bodaboda,mama ntilie na kumtoa babu seya jela hiyo ndo vision ya mgombea wenu..!!!
He is too reactive than Proactive! Rejea kwenye Uwaziri wake wa Ujenzi na Uvuvi ndio utajua huyu jamaa mengi ni hasara kubwa!
msimchokoze magufuri katulia mtoto wa watu hana makuu ukitaka kujua ana vision n mission kawaulize idara alizo simamia
tatizo wabongo hatuendelei kwa kutoangalii wenzetu wapoje,marekani kitu kilichompa mor credit obama ilikua ni presidential debates,hvohvo kwa kenyatta....na hyo ndo sehemu pekee ambayo vision,mission na weakenes zao tutaweza kuziona,kwa sababu watakua wanaulizwa maswal ya muhimu sio kama kwenye kampeni kila mmoja anaitangaza ilani ya chama chake without wthout any questions frm any1
Mamvi hata kuinua mkono shida
Vission yake kubwa ni kuwa nakuja matatizo yenu, akiulizwa matatizo gani hana majibu
Na barabara anazojenga zote ni chini ya viwango.
Lakini hawataweza hilo fisadi lao limekwisha kutembea kwenyewe ni shida kabisa.