lucy thawe
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 296
- 40
Yeye ndie aliyewafiliSi
msimchokoze magufuri katulia mtoto wa watu hana makuu ukitaka kujua ana vision n mission kawaulize idara alizo simamia
Magufuli ni moto mwingine huyo fisadi wenu hafui dawa Lowasa arudi tu kwenye ishu zake za madawa ya kulevya na ufisadi.