Dr. Magufuli "a man with no vision"

Dr. Magufuli "a man with no vision"

Wengine wana"vision" ya kutaka wenzao wakatwe miguu, hasa waendesha boda boda! Hawana sera ya kuwapatia matibabu wala bima ya ajali!
 
mtoa mada usirudie tena kufungua thread ya magufuli hata kama ni nyanya kiasi gani!!!huo mtego tumewaachia ccm waendelee kufungua thread nyingi za lowassa!kama wewe ni mwana ukawa original usirudie tena....naamini utanielewa
 
Magufuli ni moto mwingine huyo fisadi wenu hafui dawa Lowasa arudi tu kwenye ishu zake za madawa ya kulevya na ufisadi.

Maguri katutia hasara ya bil 900 za barabara katutia hasara ya bil 40 na kugawa baadhi ya nyumba kwa ndugu zake pia katutia hasara kwenye meli ile aliyoikamata badala ya kutumia akili anatumia nguvu, uyu sio raisi bomu ili watanzania wenzangu
 
Back
Top Bottom