MORE2015
Senior Member
- Jul 31, 2015
- 179
- 67
tunachohitaj watz sio history iliyopita tunachohtaji watanzania ni kumake new history,hata akiwa anajua kiundani muungano haitasaidia kwenye kubadili hali ya nchi yetu....awe alikua mwnykt wa shina au awe co mwnykt wa shina as long as atatupeleka tunapopahtaji he worth to be our leader
nini maana ya new history?? unajua unachozungumza kweli wewe