Dr limbu kweli siasa ni usanii

Ichobela

JF-Expert Member
Jan 7, 2012
326
156
Dr Limbu,ulipewa unaibu wizara ya maji ukashindwa kuwafikishia maji watu wa jimbo la Magu pamoja na jimbo kuwa kando kando ya ziwa vikitoria,hivi sasa umeanza kuwapiga usanii wananchi kwa ghiriba ya kulalamikia serikali kutowapatia maji wananchi wa jimbo lako!Jamani magamba punguzeni basi kulaghai wananchi.
 
Hivi bado ni mbunge?manake sijamsikia muda mrefu kwenye vyombo vya habari.Nakumbuka aliwahi pia kuwa naibu waziri wa fedha enzi za Mkapa,siyo?
 
Na bado wananchi watalalamika sana na hakuna atakaye wasikia,kwa nini walimchagua ili hali wakijua alipokuwa Naibu waziri wa maji hakuna lolote alilofanya,akawa Naibu waziri wa Mambo ya ndani yale yale,Naibu waziri wa Fedha hakuna la maana,na Ngongoseke aliwaambia bado wakamchagua Limbu,wakamsusia Ngongoseke aliyejitahidi pale katani kwake akiwa Diwani.Shauri yenu wananchi wa Magu na vijiji vyote pamoja na hiki cha yichobela.
 
Ana damu ya upinzani. Alihaha sana kuutafuta ubunge huyo alianzia CCM akashindwa akaenda NCCR akashindwa akarudi CCM ndio akafanikiwa. Aliingia kwa kotapini atatoka kwa kotapini!
 
Kinachompatia ushindi huyu dr ni upumbavu wa baadhi ya wana magu na hasa wale wa mjini na kata nyingine ukiondoa kata yake ambayo walimchagua diwani wa upinzani.

Mijitu ya Magu iko kilometa tisa tu kulifikia ziwa victoria lakini hadi leo inalia shida ya maji na bado inamchagua huyu mbunge ambaye hajaonesha anawakilisha nn!

Ng'ombe na wali wanaohongwa kule bar ya mlimani ndo vinawagharimu
 
Kinachompatia ushindi huyu dr ni upumbavu wa baadhi ya wana magu na hasa wale wa mjini na kata nyingine ukiondoa kata yake ambayo walimchagua diwani wa upinzani.

Mijitu ya Magu iko kilometa tisa tu kulifikia ziwa victoria lakini hadi leo inalia shida ya maji na bado inamchagua huyu mbunge ambaye hajaonesha anawakilisha nn!

Ng'ombe na wali wanaohongwa kule bar ya mlimani ndo vinawagharimu

sikweli kwamba watu wa magu walimpigia kura huyu mbunge .alishindwa uchaguzi, sema hila za kiccm kumpitisha kupitia riz kikwete na usalam wa taifa ndo waliompitisha.wapiga kura wengi hawakumtaka huyu bwana. ni mtupu sana kichwani na hana jpya zaidi ya ujinga ni mbunge wangu anatoka tarafa yangu , tarafa yake wenyewe walikuwa wanamzomea kila wakati.ndo wabunge wa ccm bana
 
Kinachompatia ushindi huyu dr ni upumbavu wa baadhi ya wana magu na hasa wale wa mjini na kata nyingine ukiondoa kata yake ambayo walimchagua diwani wa upinzani.

Mijitu ya Magu iko kilometa tisa tu kulifikia ziwa victoria lakini hadi leo inalia shida ya maji na bado inamchagua huyu mbunge ambaye hajaonesha anawakilisha nn!

Ng'ombe na wali wanaohongwa kule bar ya mlimani ndo vinawagharimu

Mimi ni mzaliwa wa Magu na nakubaliana na maneno yako kuwa mi nio Mpumbavu LAKINI SI MJINGA KAMA WEWE. Chambua na uone Mpumbavu na Mjinga yupiana nafuu. Kuweni na adabu mnapoandika maelezo yenu kutukana hakusaidii kusomeka kwa ujumbe wako bali huonyesha tafasiri halisi ya mtu hasa katika uwezo wa kufikiri. Kwanza we Obe unamjua baba yako alokuzaa!? Kama hujaelezwa basi ni mwana Magu kwa damu (Na kama unabisha kaulize vizuri) So kwa ujinga wako umemtukana Baba yako kuwa ni Mpumbavu. unaiita radhi ya mzazi Usiombe Dunia hii ukakosa radhi ya Mzazi we utahangaika na kulalamika maana mambo yako yatakwa hayaendi kama unavyotaka hadi uombe msamaha na ukubalike. Nakupa pole kwa kukurupuka hadi ukajisahau ukatukana ndugu zako. Kusoma maana yake ni kuondoa ujinga lakini wewe pamoja kupata elimu hiyo walau ujinga haujakutoka POLE SAAAAAAAAANA.
 
Dr Limbu,ulipewa unaibu wizara ya maji ukashindwa kuwafikishia maji watu wa jimbo la Magu pamoja na jimbo kuwa kando kando ya ziwa vikitoria,hivi sasa umeanza kuwapiga usanii wananchi kwa ghiriba ya kulalamikia serikali kutowapatia maji wananchi wa jimbo lako!Jamani magamba punguzeni basi kulaghai wananchi.

Inaonekana wewe una matatizo ya kumbukumbu. Dr. Festus Limbu hajawahi kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Maji, bali alikuwa Naibu Waziri Wizara ya Fedha.
 
Mimi ni mzaliwa wa Magu na nakubaliana na maneno yako kuwa mi nio Mpumbavu LAKINI SI MJINGA KAMA WEWE. Chambua na uone Mpumbavu na Mjinga yupiana nafuu. Kuweni na adabu mnapoandika maelezo yenu kutukana hakusaidii kusomeka kwa ujumbe wako bali huonyesha tafasiri halisi ya mtu hasa katika uwezo wa kufikiri. Kwanza we Obe unamjua baba yako alokuzaa!? Kama hujaelezwa basi ni mwana Magu kwa damu (Na kama unabisha kaulize vizuri) So kwa ujinga wako umemtukana Baba yako kuwa ni Mpumbavu. unaiita radhi ya mzazi Usiombe Dunia hii ukakosa radhi ya Mzazi we utahangaika na kulalamika maana mambo yako yatakwa hayaendi kama unavyotaka hadi uombe msamaha na ukubalike. Nakupa pole kwa kukurupuka hadi ukajisahau ukatukana ndugu zako. Kusoma maana yake ni kuondoa ujinga lakini wewe pamoja kupata elimu hiyo walau ujinga haujakutoka POLE SAAAAAAAAANA.

Mbona unajitukana mwenyewe?mjinga akifunzwa anakuwa mwerevu ila mpumbavu daima haelimiki! Duu hii kali kumbe wewe ni mpumbavu na sio mjinga!?!
 
na bado wananchi watalalamika sana na hakuna atakaye wasikia,kwa nini walimchagua ili hali wakijua alipokuwa naibu waziri wa maji hakuna lolote alilofanya,akawa naibu waziri wa mambo ya ndani yale yale,naibu waziri wa fedha hakuna la maana,na ngongoseke aliwaambia bado wakamchagua limbu,wakamsusia ngongoseke aliyejitahidi pale katani kwake akiwa diwani.shauri yenu wananchi wa magu na vijiji vyote pamoja na hiki cha yichobela.
hakuchaguliwa ila aliiba kura kwa msaada wa jk na alishasema sio mbuge wa mgu mjini ila ni mbunge wa mahaha na nyanhanga walikomchagua
 
Inaonekana wewe una matatizo ya kumbukumbu. Dr. Festus Limbu hajawahi kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Maji, bali alikuwa Naibu Waziri Wizara ya Fedha.

Ndugu yangu Ngereja,kabla hajawa naibu wizara ya fedha alikuwa na position gani katika baraza la mawaziri?Mpigie simu Dr. akupe ukweli naona humuelewi vizuri Limbu.Mimi ni mbunge wangu namfuatilia vizuri,kama hujui nikupe kwa kifupi sana.Huyu mheshimiwa alikuta miundo mbinu iliyopigiwa chapuo na kina Mzee Mabawa na Kapunda,pandisha mlima wa Nyashimba utakuta tenki la maji lilojengwa ili watu wa Nyashimba hadi Kinango wapate maji enzi hizo za Jembe na Nyundo.....kakuta miundo mbinu kashindwa kuendeleza kama utahutaji historia nyingine zaidi sema nikueleze yamhusuyo Dr na kupotezea kwake shida za wananchi wake....kama kuna la maana alofanya huyu ndugu yetu tusaidiane ili asilaumiwe bure.....
 
Mbona unajitukana mwenyewe?mjinga akifunzwa anakuwa mwerevu ila mpumbavu daima haelimiki! Duu hii kali kumbe wewe ni mpumbavu na sio mjinga!?!

KWA UKOMO WA AKILI YAKO UTAONA NA KUJUA NIMEJITUKANA MWENYEWE. Kwa wenye AKILI na ambao si wajinaga kama wewe walishaelewa. INASIKITISHA KIJANA KAMA WEWE UNAJIANIKA HADHARANI KUONYESHA UMBUMBU WAKO ndo shida ya kutosikiliza maelekezo ya Wazazi na kukalia kusikiliza mambo ya vijiweni zaidi ambako mijadala mingi huongozwa na watumiaji wa JANI na wanachokiongea nia maoni yao + JANI = UJINGA. Falsafa ni nyingi shirikisha ubongo wako kikamilifu na usipoelewa uliza uelekezwe ELIMU NI BAHARI.
 
Ndugu yangu Ngereja,kabla hajawa naibu wizara ya fedha alikuwa na position gani katika baraza la mawaziri?Mpigie simu Dr. akupe ukweli naona humuelewi vizuri Limbu.Mimi ni mbunge wangu namfuatilia vizuri,kama hujui nikupe kwa kifupi sana.Huyu mheshimiwa alikuta miundo mbinu iliyopigiwa chapuo na kina Mzee Mabawa na Kapunda,pandisha mlima wa Nyashimba utakuta tenki la maji lilojengwa ili watu wa Nyashimba hadi Kinango wapate maji enzi hizo za Jembe na Nyundo.....kakuta miundo mbinu kashindwa kuendeleza kama utahutaji historia nyingine zaidi sema nikueleze yamhusuyo Dr na kupotezea kwake shida za wananchi wake....kama kuna la maana alofanya huyu ndugu yetu tusaidiane ili asilaumiwe bure.....

Unabisha kwa kitu ambacho kiko wazi. Dr. Limbu amekuwa Mbunge kwa mara ya kwanza katika uchaguzi wa mwaka 2000. Katika baraza la kwanza la mawaziri baada ya uchaguzi wa mwaka 2000 hakuwemo, baada ya mabadiliko madogo mwaka 2002 ndipo akateuliwa kuwa naibu waziri wa katika wizara ya Fedha, Waziri akiwa Bazir Mramba. Hakuwahi kuwa waziri wala naibu waziri kabla ya 2002. Kwenye uchaguzi wa 2005 na 2010 kipindi cha uongozi wa Kiwete hakuwahi kuchaguliwa kuwa naibu waziri wala waziri.

Wadhifa alio nao Dr. Limbu ukiacha ubunge ni Mwenyekiti wa Bodi ya Pamba hadi sasa.

Inaonekana humjui Mbunge wako, pamoja na kujitapa kuwa ni Mbunge wako na unamwelewa. Kama wewe unabisha, na kwa kuwa unajitapa kuwa unamjua sana Dr. Limbu, na historia yake ya kisiasa, weka hapa nyadhifa za uwaziri/naibu waziri alizowahi kushika tangu awe mbunge. Weka mwaka, na wizara alizoshikilia.
 
sikweli kwamba watu wa magu walimpigia kura huyu mbunge .alishindwa uchaguzi, sema hila za kiccm kumpitisha kupitia riz kikwete na usalam wa taifa ndo waliompitisha.wapiga kura wengi hawakumtaka huyu bwana. ni mtupu sana kichwani na hana jpya zaidi ya ujinga ni mbunge wangu anatoka tarafa yangu , tarafa yake wenyewe walikuwa wanamzomea kila wakati.ndo wabunge wa ccm bana

umenena kweli mkuu huyo jamaa ni bonge la kilaza maa hata nikiwa nimeenda ukweni pale magu huwa kuna shida kubwa ya maji na wakat huohuo ukitoka nje ukaangalia upande wa kas magharibi unaliona ziwa victoria limejaa kama peshe la mchele.Chadema ongezeni kasi jimbo la magu kwani limbu ameshajichokea zaamani!Magamba bana!
 
KWA UKOMO WA AKILI YAKO UTAONA NA KUJUA NIMEJITUKANA MWENYEWE. Kwa wenye AKILI na ambao si wajinaga kama wewe walishaelewa. INASIKITISHA KIJANA KAMA WEWE UNAJIANIKA HADHARANI KUONYESHA UMBUMBU WAKO ndo shida ya kutosikiliza maelekezo ya Wazazi na kukalia kusikiliza mambo ya vijiweni zaidi ambako mijadala mingi huongozwa na watumiaji wa JANI na wanachokiongea nia maoni yao + JANI = UJINGA. Falsafa ni nyingi shirikisha ubongo wako kikamilifu na usipoelewa uliza uelekezwe ELIMU NI BAHARI.

dogo acha matusi rejea sheria za jf
 
dogo acha matusi rejea sheria za jf

We umeona matusi!? Rejea ilikoanzia hii mwenzio katukana watu wote wa Magu kwa ktwaita WAPUMBAVU bila kujali mbaya zaidi bila kujua kuwa original ya baba yake mzazi ni Magu. Hivyo sijamtusi bali nilikuwa namkumbusha awe kwenye mstari, hivyo nakuomba mi na wewe tusaidiane kumkumbusha hizo sheria za JF. Tchao
 
Nyie wasukuma wa ng'ung'umalwa kuna nini mbona mnatukanana hapa? we enk una uhakika gani kuwa JERO hakuwahi kumsikiliza baba yake?
 
Ndugu yangu Ngereja,kabla hajawa naibu wizara ya fedha alikuwa na position gani katika baraza la mawaziri?Mpigie simu Dr. akupe ukweli naona humuelewi vizuri Limbu.Mimi ni mbunge wangu namfuatilia vizuri,kama hujui nikupe kwa kifupi sana.Huyu mheshimiwa alikuta miundo mbinu iliyopigiwa chapuo na kina Mzee Mabawa na Kapunda,pandisha mlima wa Nyashimba utakuta tenki la maji lilojengwa ili watu wa Nyashimba hadi Kinango wapate maji enzi hizo za Jembe na Nyundo.....kakuta miundo mbinu kashindwa kuendeleza kama utahutaji historia nyingine zaidi sema nikueleze yamhusuyo Dr na kupotezea kwake shida za wananchi wake....kama kuna la maana alofanya huyu ndugu yetu tusaidiane ili asilaumiwe bure.....
Lile tanki la Maji limejengwa miaka ya 60's baada ya uhuru ili kuwapatia maji wana Magu waliokuwa si zaidi ya elfu hamsini,kwa sasa mji umekua na population imeongezeka lakini huyu Bwana halitambui hilo pamoja na uDAKTARI WAKE, ni mjinga wa mwisho.Alichokifanya cha maana ni alipokuwa Naibu Waziri wa mambo ya ndani alipowapatia vijana ajira ya upolisi chini ya IGP yule mzawa wa masanza Marehemu Michael Mgema kama sijakosea jina.
 
Lile tanki la Maji limejengwa miaka ya 60's baada ya uhuru ili kuwapatia maji wana Magu waliokuwa si zaidi ya elfu hamsini,kwa sasa mji umekua na population imeongezeka lakini huyu Bwana halitambui hilo pamoja na uDAKTARI WAKE, ni mjinga wa mwisho.Alichokifanya cha maana ni alipokuwa Naibu Waziri wa mambo ya ndani alipowapatia vijana ajira ya upolisi chini ya IGP yule mzawa wa masanza Marehemu Michael Mgema kama sijakosea jina.

Ni mwaka gani Dr. Limbu aliwahi kuwa Naibu Waziri wa mambo ya ndani? Kumbukumbu hazionyeshi hivyo. Tuambie ni mwaka upi? maana kumbukumbu zote za mawaziri kwa kila kipindi zipo. Mimi nasema Kabla ya 2002 hakuwahi kuwa na wadhifa wowote wa uwaziri/naibu waziri, na baada ya 2005 hakuchaguliwa kwenye cabinet hadi sasa. Nafasi ya naibu waziri aliyoishikilia ni Naibu waziri wa Fedha mwaka 2002 hadi 2005. Mwenye ushahisi zaidi auweke hapa.
 
Ngereja! Ni kweli Dr Limbu hajawahi kuwa waziri wa mambo ya ndani, lakini, tafuta kumbukumbu zako za mwaka 2002 uone nani alikuwa waziri wa maji na nani alikuwa naibu wake, hapo ndo utakuja ukanushe kuwa Limbu hajwahi kuwa naibu waziri wa maji chini ya ENL.
ENK, heshima mbele, inaonekana hujui nini kinajadiliwa hapa, na hili linaweza kuwa si kosa lako, masuala ya mm kumjua au kutomjua baba yangu yanahusiana nini na upumbavu wetu wana Magu!

Unaweza kuwa na uhuru wa kuandika hapa lakini si haki yako ya kutaka kujifanya mtaalamu wa DNA, binafsi nimekuchukulia kama binadamu mwenye haki zote lakini anafaa kupuuzwa, nimepuuzia yote uliyoandika kwani lengo hapa la mdau Ichobela (Ilungu, Nyanshimba-Yichobela- Kinango haha haha) lilikuwa ni kuonesha namna gani huyu jamaa tangu amekuwa mbunge ahajafanya lolote la maana si kwa watu wa Magu mjini pekee bali hata kwa walio pembezoni, mwalinha, sagani etc. Kikubwa hapa, kama wewe ni mkazi wa Magu na unadhani kumtetea limbu ni kutoona alichofanya, pole.

Tuone labda sasa kwa kuanzishwa huu mkoa wa Simiyu na kuwepo kwa mamlaka ya mji mdogo wa magu, kunaweza kuwepo na mabadiliko, tusubiri tuone
 
Back
Top Bottom