Dr Limbu,ulipewa unaibu wizara ya maji ukashindwa kuwafikishia maji watu wa jimbo la Magu pamoja na jimbo kuwa kando kando ya ziwa vikitoria,hivi sasa umeanza kuwapiga usanii wananchi kwa ghiriba ya kulalamikia serikali kutowapatia maji wananchi wa jimbo lako!Jamani magamba punguzeni basi kulaghai wananchi.