vijana fanyeni kazi halaliHuyu huyu tena
Mbona za kuaminika ni upinde style
Atawaharubu
Mitandaoni kuna mengi...Huyu huyu tena
Mbona za kuaminika ni upinde style
Atawaharubu
Aisee si nimesikia mtaalam anawapelekea moto madogo wanaoleta shobo za kutaka kuwa waigizaji uchwara?
Ndo hizo zinafanya wapelekewe moto.Fursa wanazotafuta vijana sasa
Ova
Watu walimchukulia Papai kumbe vijana wanang'ata godoro.
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Watu walimchukulia Papai kumbe vijana wanang'ata godoro.
naisaka kwa hamu kweli hiyo videoMbona umecheka sana?! Ile video hujaruka nayo kweli?
naisaka kwa hamu kweli hiyo video
nime sub huu uzi
kabisa, ila holaKashfa ya ulawiti kwa watangazaji inakua kwa kasi duniani
BBC wanapambana na mtangazaji wao. Huku bongo kituo cha habari kinapata kashfa kinakaa kimya. Hii imekaeje wakuu au bado inachunguzwa?www.jamiiforums.com
nimecheki ile site mpendwa kule kwenye category ya latest from tz, nako hola
kule sina account, naamini jF au site pendwa hazitaniangushaVip tweeter hawajarusha? Mana kule kuna mambo ya sodoma siku hiz mpk sio powa dah!!
kule sina account, naamini jF au site pendwa hazitaniangusha
ni swala mda tu
account nnayo Tagged 😍Mhmm!! Wacha uongo
Unavyopenda kupiga selfie afu ndo ukose account kule