mkute
Member
- Jan 12, 2011
- 80
- 12
Wimbi la mparanganyiko wa ccm linazidi kushika kasi kila kukicha,baada ya mtoto wa mkulima kuwataka viongozi wastaafu kutumia vikao kueleza mawazo yao.Agizo hilo limepuuziwa baada ya mmoja wa viongozi wastaafu Dr Hans Kitine kukiponda wazi wazi chama hicho.Akiongea ktk kipindi kinachorushwa na Channel ten cha Je tutafika? Kitine amesema kuwa ccm IMEPOTEZA MWELEKEO maneno yaliowahi kumgharimu aliewahi kuwa katibu mkuu wa ccm wakati huo marehemu Horace Kolimba.Swali langu kwa great thinkers je Dr kitine atasalimika kweli kwa hiyo kauli? maana ukweli unauma!