Dr.kitine yanaweza kumpata yaliompata kolimba?

Dr.kitine yanaweza kumpata yaliompata kolimba?

Mh! I doubt this, what about, Stan Katabalo, Gilman Rutihinda, Steven Kibona, Horace Kolimba, Imrani Kombe, Edward Sokoine, Koplo Rashid Lema e.t.c.

Inasemekana imran kombe alishugulikiwa na mzee mwenyewe baada ya wakuu wa intelejentia kumweleza anavujisha siri za serekali ya ccm kwa mzee wa kiraracha, ndiyo mana mzee wa kiraracha alikua kila kukicha anawalipua
 
anaye kuambiya ukweli anakupenda tatizolahawavigogo wa ccm hukichukia kioo kikionyeshauchafu wasurazao badarayakusafisha surazao wanakimbiliya kupasuwakioo sijuwininikitawaonyesha matongotongokwenye sura zao
 
dr. kitine hawamuwezi huyu ndo alikuwa boss wa TISS hawa akina othman kawatrain yeye kitu nzito huyu

Wakimuua sisi mashahidi, hawatakuwa na pa kutokea!
Alichoongea ni ukweli, na ndicho tunachosisitiza kila siku hapa JF, na tunaongea mchan a kweupe, mbona hawatuuwi sisi?

Kitine ni kigogo mzito na anaeheshimika na TISS nchini na ng'ambo, HUYU MZEE ALIWIVA KIUSALAMA HAINGILIKI HOVYO.

nakumbuka alivyotumbukiza benzi baharini ili kufuta ushahidi.........walahi kitine ni mwamba....hawamuwezi huyu mzee hata kidogo.....ngumu sana..





Nilio wa quote naomba tu mfuatilie upya kisa cha yule Luteni Generali aliyeuwawa Machame akidhaniwa kuwa ni jambazi.
 
Wimbi la mparanganyiko wa ccm linazidi kushika kasi kila kukicha,baada ya mtoto wa mkulima kuwataka viongozi wastaafu kutumia vikao kueleza mawazo yao.Agizo hilo limepuuziwa baada ya mmoja wa viongozi wastaafu Dr Hans Kitine kukiponda wazi wazi chama hicho.Akiongea ktk kipindi kinachorushwa na Channel ten cha Je tutafika? Kitine amesema kuwa ccm IMEPOTEZA MWELEKEO maneno yaliowahi kumgharimu aliewahi kuwa katibu mkuu wa ccm wakati huo marehemu Horace Kolimba.Swali langu kwa great thinkers je Dr kitine atasalimika kweli kwa hiyo kauli? maana ukweli unauma!

inategemea ukweli gani,chama kilichokomaa kisiasa hakitakiwi kuteteleka kwa statement za watu kama kitine.swala la kuangaliwa ni je chama hicho kinafanikiwa kupata na kutimiza malengo yake?mfano kushinda uchaguzi,idadi ya wabunge wengi nk halafu ndipo utakapojua mwelekeo wa chama.kifo cha kolimba ni ccm au mungu?na kitine siku zake zikifika ataenda mbele za haki kama wengine wote binadamu itakavyokuwa.
 
Wimbi la mparanganyiko wa ccm linazidi kushika kasi kila kukicha,baada ya mtoto wa mkulima kuwataka viongozi wastaafu kutumia vikao kueleza mawazo yao.Agizo hilo limepuuziwa baada ya mmoja wa viongozi wastaafu Dr Hans Kitine kukiponda wazi wazi chama hicho.Akiongea ktk kipindi kinachorushwa na Channel ten cha Je tutafika? Kitine amesema kuwa ccm IMEPOTEZA MWELEKEO maneno yaliowahi kumgharimu aliewahi kuwa katibu mkuu wa ccm wakati huo marehemu Horace Kolimba.Swali langu kwa great thinkers je Dr kitine atasalimika kweli kwa hiyo kauli? maana ukweli unauma!

Naye si alikuwa jasusi anajua kabisa mbinu zao, kwamba kule kwa sasa kuna kutoelewana kama ilivyo kwenye chama chao.
 
Wakimuua sisi mashahidi, hawatakuwa na pa kutokea!
Alichoongea ni ukweli, na ndicho tunachosisitiza kila siku hapa JF, na tunaongea mchan a kweupe, mbona hawatuuwi sisi?

Kwani wewe jina lako kamili unakoishi linajulikana mkuu? Si ndo maana tunatumia majina ya kuchonga? Sababu yake hatutaki watujue ili wasijetuumiza. Au?
 
nakumbuka alivyotumbukiza benzi baharini ili kufuta ushahidi.........walahi kitine ni mwamba....hawamuwezi huyu mzee hata kidogo.....ngumu sana..

Nimecheka mpaka ile basi!!!ahaaaaaa mbavu zangu!!
 
anaye kuambiya ukweli anakupenda tatizolahawavigogo wa ccm hukichukia kioo kikionyeshauchafu wasurazao badarayakusafisha surazao wanakimbiliya kupasuwakioo sijuwininikitawaonyesha matongotongokwenye sura zao

Mkuu hapo kwenye red!!Njichii!!!
 
Huyu Mzee Kitine kajichokea, nilivyomwangalia jana alionyesha dalili zote za frustration.
Huyu bwana anavuna alichopanda kwani ni kati ya wale waliokuwa wamemzunguka Mwalimu na kushindwa kutimiza wajibu wao hadi SERA SAHIHI za Baba wa Taifa zikashindwa.
Eti anakumbuka enzi za Mwalimu, aliyeondoka madarakani zaidi ya miaka 25 iliyopita! Hatujasahau kuwa alilazimishwa kuacha uwaziri kwa kashfa ya ufisadi?
 
Mh! I doubt this, what about, Stan Katabalo, Gilman Rutihinda, Steven Kibona, Horace Kolimba, Imrani Kombe, Edward Sokoine, Koplo Rashid Lema e.t.c.

Inasemekana imran kombe alishugulikiwa na mzee mwenyewe baada ya wakuu wa intelejentia kumweleza anavujisha siri za serekali ya ccm kwa mzee wa kiraracha, ndiyo mana mzee wa kiraracha alikua kila kukicha anawalipua

Yote haya si kweli. Ni sababu zinazotolewa mitaani.
Sababu halisi zilikuwa ni za kiintelijensia na haziwezi kuanikwa hapa.
 
MAkosa yake ya zamani hayawezi kufutika.
Ila ni wazi kila mtu ana makosa yake. Mtu msafi ni mtoto mdogo ambaye hataweza kazi yoyote, wote sie hapa tuna historia fulani.

Anyway, aliosema ni mazito sana, anaonekana yuko frustrated sana, na alikuwa kama ndio kapata mahali pa kutolea upepo. God bless Makwaiya.

LAkini kwa umbeya tu pamoja na mambo mazito sana aliosema, kama mie ningekuwa CCM, lazima ningekuwa na kalamu na karatasi natake note kwa ajili ya utekelezaji.
Kiukweli baba na babu zetu walifanya kazi kubwa bila ubinafsi kujenga nchi na kutusomesha kwa kodi na majasho yao, hawakulimbikizia (wengi waliokuwa kwenye madaraka) hio ilikuwa faraja na chanzo cha mshikamano.
Kumuogopa kiongozi kulitokana na majukumu, na sio mapesa alionayo kinyume na sasa.
vikao vilikuwa vya kujadili utekelezaji wa mipango, sasa mhhhh!!!
mkundi yalikuwa ya kimtazamo wa uelekeo wa nchi,

Lakini jamani naomba kumjua huyo katibu mkuu aliesemwa kuwa anajulikana kuwa ni mwizi
 
Nilimwona Mzee Kitine jana. Ni kama vile na yeye ana mgombea wake tayari. Majibu ya WM Pinda ndiyo yanayochefua zaidi kwenye sakata hili.
 
Wimbi la mparanganyiko wa ccm linazidi kushika kasi kila kukicha,baada ya mtoto wa mkulima kuwataka viongozi wastaafu kutumia vikao kueleza mawazo yao.Agizo hilo limepuuziwa baada ya mmoja wa viongozi wastaafu Dr Hans Kitine kukiponda wazi wazi chama hicho.Akiongea ktk kipindi kinachorushwa na Channel ten cha Je tutafika? Kitine amesema kuwa ccm IMEPOTEZA MWELEKEO maneno yaliowahi kumgharimu aliewahi kuwa katibu mkuu wa ccm wakati huo marehemu Horace Kolimba.Swali langu kwa great thinkers je Dr kitine atasalimika kweli kwa hiyo kauli? maana ukweli unauma!

Hata Marehemu CHACHA WANGWE wa TARIME alipotezwa kwa kuwa alitaka kugombea uenyekiti wa CDM Taifa
 
Kitine ni kigogo mzito na anaeheshimika na TISS nchini na ng'ambo, HUYU MZEE ALIWIVA KIUSALAMA HAINGILIKI HOVYO.

ACHA KUTUDANGANYA WEYE!!!!
kitine si chochote si lolote!!
KWA NINI ALISHINDWA KUZUIA KASHFA YA MKE WAKE?
KWA NINI ALICHEMSHA UBUNGE ILHALI WENZAKE AKINA LUKUVI WANAPATA KIULAINI?
WALE JAMAA WAKIMTAKA ANAONDOKA TENA KWA STAILI WATAKAYOAMUA WAO!!!
NANI ASIYEMJUA IMRAN KOMBE NA WELEDI WAKE? YUKO WAPI?
 
wimbi la mparanganyiko wa ccm linazidi kushika kasi kila kukicha,baada ya mtoto wa mkulima kuwataka viongozi wastaafu kutumia vikao kueleza mawazo yao.agizo hilo limepuuziwa baada ya mmoja wa viongozi wastaafu dr hans kitine kukiponda wazi wazi chama hicho.akiongea ktk kipindi kinachorushwa na channel ten cha je tutafika? Kitine amesema kuwa ccm imepoteza mwelekeo maneno yaliowahi kumgharimu aliewahi kuwa katibu mkuu wa ccm wakati huo marehemu horace kolimba.swali langu kwa great thinkers je dr kitine atasalimika kweli kwa hiyo kauli? Maana ukweli unauma!


huyu dr kitine hana moral authority na yeye japo inawezekana ameongea ukweli..maana wkt akiwa mkuu wa tiss alifoji mavyeti ya uwongo kuwa mkewe ametibiwa ulaya huko ili wawe-refunded..ikaja julikana kuwa ni vitu vya kufoji..
 
Dr Kitine anatibu majeraha aliyopata japo anaweza kuwa anachosema ni kweli lakini anataka jahazi alilopanda azame na wengine waliomlipua huko nyuma. Kama waandishi wetu wa habari wangekuwa makini wangemuuliza Milioni 60 za serikali alizotumia kumtibu mkewe matibabu hewa huko Canada mbona naona ni ufisadi? Wakati huo alikuwa waziri wa Utawala bora na akalazimika kujiuzulu.

Mtu kama huyu akiheshimika ndani ya TISS basi taasisi hiyo ya Ujasusi itakuwa inakufa huku inajiona. Kwa maoni yangu huyu hana heshima zozote huko TISS ni wale wale katika jahazi lilelile lakini hoja zake ni za kujenga taifa tusizipuuze tuzifanyie kazi.

Kama kawiva alishindwa vipi kucoverup scandal yake hadi wakamlipua mnasifia mijitu kishabiki.ama mlikua bado kindergaten hamjui alifanyaga nini
 
Wataua wangapi? Mbona zaidi ya nusu ya wana CCM wote wanasema hadharani kuwa chama chao kimepoteza mwelekeo?

1. Bujiku
2. Warioba
3. Sitta
4. Lowassa
5. Sumaye
6. Ngombale
7. Magufuli
8. Mwakalebela
9.
 
Back
Top Bottom