Kiongozi!
Kama mfumo ndio uko hivyo, waTanganyika tupo kwenye Jehanamu ya duniani. Hadi 2015 ifike tutakuwa tumesha unguzwa vya kutosha.
Maana kama waziri msomi wa kiasi hiki anaweza kusifia budget ambayo hata kabla hajaimaliza kuisoma, unaona jinsi inavyo mnyonga mTanganyika.
Lakini kwa ushabiki wa Kichama wa Wabunge wa CCM wanaipikia makofi kana kwamba neema imeshushwa Tanganyika.
Anyway, kwa vile budget hiyo imewaongezea zaidi maeneo ya kutumbua, ndio maana hawawajali waTanganyika.