mbutamaseko
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 736
- 1,054
Dhamiri yangu inanituma kuandika haya mapema ili kama yumo au anapita pita humu ajue mazuri anayoyafanya yana mark history kwenye maisha ya watu. Kwanza ni open minded maelezo kidogo tu ameshaelewa kwa muktadha wote. Najua sio maarufu na watu hamumjui Sana humu Ila mtambue tu Dr. Josephine Kimaro ana sifa zote za Mtu mwenye utu.
Unafanya nae kazi anathamini kazi yako na anaivalue kulingana. Na yuko fasta kusaidia kwa Hali na mali pale unapokuwa na uhitaji. Ni raha na fahari kufanya kazi na kichwa kama hiki. My sister Mungu akuweke na kama itawapendeza watawala wakuone kwa maslahi mapana ya Taifa hili. Unaweza kulifanyia Jambo taifa letu. Najua unaweza usipende wewe kuwekwa hapa jukwaani Ila uwezo na moyo wako ndio vinafnya na vitfanya usemwe popote kwa mazuri. All the best Dr.
Unafanya nae kazi anathamini kazi yako na anaivalue kulingana. Na yuko fasta kusaidia kwa Hali na mali pale unapokuwa na uhitaji. Ni raha na fahari kufanya kazi na kichwa kama hiki. My sister Mungu akuweke na kama itawapendeza watawala wakuone kwa maslahi mapana ya Taifa hili. Unaweza kulifanyia Jambo taifa letu. Najua unaweza usipende wewe kuwekwa hapa jukwaani Ila uwezo na moyo wako ndio vinafnya na vitfanya usemwe popote kwa mazuri. All the best Dr.