GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,648
- 10,843
Mwaka 2020 niliposikia Dr Gwajima anagombea ubunge, nilifikiri "kapotoka". Ningekuwa jimboni kwake kipindi hicho nisingempa kura yangu!
Lakini sasa nimegundua nilikuwa nimekosea! Alikuwa sahihi sana!
Kama si Gwajima kuingia bungeni, GWAJIMANIZATION ingetoka wapi?
Naomba msamaha kwa MAGWAJIMANIZED wote!
Lakini sasa nimegundua nilikuwa nimekosea! Alikuwa sahihi sana!
Kama si Gwajima kuingia bungeni, GWAJIMANIZATION ingetoka wapi?
Naomba msamaha kwa MAGWAJIMANIZED wote!