Dr Hussein Bashe MP (PhD) Waziri Mkuu ajae

Mheshimiwa Dr Hussein Bashe MP PhD anasubiria kuapishwa baada ya mabadiliko ya Baraza la mawaziri hivi karibuni.
Mmemdharau Samia kiasi kwamba mnadhani ni punguani kila siku awe anafanya kazi ya kutengeneza baraza la mawaziri? Hapo alipo halali akiwaza jinsi ya kujinasua na kitanzi cha ICC, hana muda wa kufanya kazi nyingine za serikali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…