Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Muheshimiwa,
Huoni kama ungefanya kazi nzuri zaidi ukiwa hospitali ? kwakuwa nchi yetu ina uhaba wa wataalam ambao wengi wamekimbia nje na wengine kama wewe wamekimbia fani zao na kuishia kukaa bungeni?
Huoni kama ungefanya kazi nzuri zaidi ukiwa hospitali ? kwakuwa nchi yetu ina uhaba wa wataalam ambao wengi wamekimbia nje na wengine kama wewe wamekimbia fani zao na kuishia kukaa bungeni?