Pamoja na kuudhika sana kwa sababu za kipuuzi kutolewa na Phd holder,nasikitika zaidi kwamba dr.Francis Michael Kasavubu ni classmate wangu ambaye tulimtegemea kila mara katika kupigania haki zetu.
dah.. kumbe kuna madr. makanjanja?
Pamoja na kuudhika sana kwa sababu za kipuuzi kutolewa na Phd holder,nasikitika zaidi kwamba dr.Francis Michael Kasavubu ni classmate wangu ambaye tulimtegemea kila mara katika kupigania haki zetu.
hawa ma dr wa kipindi hicho ni wachumia tumbo wala taaluma yao haiwasaidii, mwakyembe ameikimbia thiesis yake ya u dr. mwakyembe wakati prof tundu lissu akimsomea findings za research yake anajifanya kunakili kurasa kama hajui kuwa aliandika yeye. wasiwasi wangu ni kuwa labuda alifanyiwa kama wenzake.
Exactly...misimamo hubadilikaKwani maandishi/msimamo wake ni Msahafu mkuu?...
Ikumbukwe kuwa misimamo/mitazamo ya watu hubadilika pia..
Sidhani kama kitendo cha Prof. Shivji kubadili msimamo wake juu ya muundo wa Muungani ni kwa sababu ya "Mlungula" kama anavyodai Mkuu wangu Mpaka Kieleweke...
Ndugu yetu, Daktari wa Filosofia uliyetumainiwa na wenazako hata ukasimamia Chama cha Magwiji wasomi UDSM (UDASA), yaani ndani ya viatu vya kina Prof Chachage, Leo hii bila hiana, unakacha misimamo wako Wote, unakumbatia misimamo wa watu wengine na kutumia hoja dhaifu kuutetea! Umenishtua sana!