Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,701
- 6,936
Dk Nchimbi: Tumemkubali Dk John Magufuli
Dk Nchimbi akizungumza na gazeti la Mwananchi jana alisema Dk John Magufuli ni mgombea anayeuzika tofauti na wengine na kwamba kambi yao inamuunga mkono katika kukiwezesha chama kuendelea kushika dola.
Dk Nchimbi akizungumza na gazeti la Mwananchi jana alisema Dk John Magufuli ni mgombea anayeuzika tofauti na wengine na kwamba kambi yao inamuunga mkono katika kukiwezesha chama kuendelea kushika dola.
Last edited by a moderator: