Mgombea wa Ubunge Jimbo la Ubungo kupitia CCM anategemewa kupata ushindi mnono kutokana na historia yake kiutendaji, Masaburi atakuwa mstari wa mbele kwa muda mrefu katika kuhakikisha wakazi wa Ubungo wanapata huduma stahiki za kijamii tofauti na hapo awali.