Dr.Charles Kitima na wewe umenunuliwa?

Unataka kulingana kwa lugha yako chafu kama Josephine?
 
Acha uwongo wewe mimi nipo ndani ya system ya saut kitima ndio mtu aliekiboresha kufungua matawi mengi zaidi
Ka,ma unapima maendeleo kwa wingi wa magari una shida?//
Hiyo maktaba ya chuo jengo lina ubora?
Mwanjonde ina nyufa kila kona.........
Eti upo kwenye system,na system ya Kitima wote walikuwa wezi,ndio maana wanasambaratishwa sasa,wadanganye wasiojua saut,na mimi nimesoma hapo,na ni kada mzuri wa CHADEMA,ila sipendi watu wanaotoa boriti kwenye macho ya wenzao hyuku za macho yao wanazisahau........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…