Dr. C. Chami hali si shwari Moshi Vijijini

Dr. C. Chami hali si shwari Moshi Vijijini

DR. PHONE

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2012
Posts
504
Reaction score
91
Katika hali isiyokuwa ya kawaida wananchi wa Moshi Vijijini wameonekana wa tofauti sana katika uchaguzi huu, hali hii imejitokeza katika Kata ya Kirima mkutano wa Chami aliokuwa ameuandaa eneo la KNCU Kirima. Pale ambapo mbunge anayemaliza muda wake na aliyewahi kuwa Waziri akiongozana na Sophia Simba walihutubia viti vilivyokuwa vimeandaliwa watu kukaa baada ya wananchi kutoonekana hapo. Ikumbukwe kwamba Kirima ni mojawapo ya Kata zenye upinzani mkali sana katika jimbo la Moshi Vijijini ikifuatiwa na Zingine kama Kindi, Kibosho Magharibi, Uru Kusini, maeneo ya TPC n.k. Nawasilisha!!!!!
 
Anton Komu ana mkimbiza vibaya Chami, ni miujiza tu ndo itaweza kumrudisha Bungeni
 
Picha! Picha! Ili magamba yazimie au yakate roho kabsa na taft yao feki
 
Back
Top Bottom