mwenzako wanamwandaa kwa 2015
Office ya Makamu wa rais ndiyo inahusika na mambo ya muungano, ningetaka kujua ni mambo gani hasa ya muungano? What exactly kinafanywa na hii office, na muhimu zaidi, Tanganyika inachangia kiasi gani na Zanzibar nayo inachangia kiasi gani kuendesha hii ofiice ya Muungano?
LET ZANZIBAR GO!!!
Mkuu Joka Kuu ukisoma watu kama hawa unaweza kujua tumeungana na watu wa aina gani.
Mtumbatu kwa taarifa naona wewe ni mgeni hapa jamvini lakini tutakupa elimu ili ukirudi Mzalendo.net uwaeleze.
Tumesahasema Tanganyika ikirudi pesa za bure kama hizo bilioni 32 hazitapatikana. Unaposema unachukua chako ni kipi hicho maana unachangia sifuri (zero) sasa unachukua kipi ? Lakini si hicho tu, mishahara ya Wabunge, Wawakilishi na Viongozi wote inatoka hazina Dar es Salaam, kwahiyo mnachukua cha kutosha na zaidi wala si chenu.
Unajua Zanzibar ni nchi isiyo na jeshi wala polisi. Sasa unaposema Tanganyika inawahitaji, ni kwa lipi? Si unajaua Rais anachaguliwa Dodoma, na anapelelekwa na Polisi na kulindwa na jeshi lisilo za Znz, sasa mpini upi mumekamata.
Salimin Amour alijaribu, baada ya hapo imebaki hadithi na tunasikia akienda India tu! Muulize Raza ilikuwaje!
Anyway, Mkuu Joka kuu ukisoma Raia mwema utakutana na habari ya yule msemaji wa Wapemba na Sultani, Ahmed Rajabu. Anasema ZNZ sasa inajua haki na inadai haki. Haki ni hii ya kupewa mishahara watu wakicheza bao, haki ni hii ya kuwasha umeme wasiolipia, haki ni hii ya kupewa bilioni zisizojulikana ni za nini?
Ukimsoma huyu bwana Mtumbatu, halafu uksaoma maoni ya Ahmed Rajabu utajua MZNZ ni mtu wa aina na kiwango gani.
Haya yapo mwisho, Hotuba ya Tundu Lissu imeeleza vizuri tu, sisi tuna kazi moja tu, kuuleza umma kuwa hatuna sababu za kuwa na ZNZ, hatufaidi chochote wala lolote, sasa ni wakati wa kusema LET ZNZ GO!
Akina Lisu wametusikia na wanatuelewa, najua Nape na akina Kigwangalla wote wataona udhalimu huu, nao uzalendo wa nchi yao utasimama. Bila kufanya jambo hawa WZNZ wataomba tuwapeleke makopo ya maji uani!
Hakuna Mkataba
Hakuna serikali 3
Tukautane EAC, LET ZNZ GO!
Mkuu Joka Kuu ukisoma watu kama hawa unaweza kujua tumeungana na watu wa aina gani.
Mtumbatu kwa taarifa naona wewe ni mgeni hapa jamvini lakini tutakupa elimu ili ukirudi Mzalendo.net uwaeleze.
Tumesahasema Tanganyika ikirudi pesa za bure kama hizo bilioni 32 hazitapatikana. Unaposema unachukua chako ni kipi hicho maana unachangia sifuri (zero) sasa unachukua kipi ? Lakini si hicho tu, mishahara ya Wabunge, Wawakilishi na Viongozi wote inatoka hazina Dar es Salaam, kwahiyo mnachukua cha kutosha na zaidi wala si chenu.
Unajua Zanzibar ni nchi isiyo na jeshi wala polisi. Sasa unaposema Tanganyika inawahitaji, ni kwa lipi? Si unajaua Rais anachaguliwa Dodoma, na anapelelekwa na Polisi na kulindwa na jeshi lisilo za Znz, sasa mpini upi mumekamata.
Salimin Amour alijaribu, baada ya hapo imebaki hadithi na tunasikia akienda India tu! Muulize Raza ilikuwaje!
Anyway, Mkuu Joka kuu ukisoma Raia mwema utakutana na habari ya yule msemaji wa Wapemba na Sultani, Ahmed Rajabu. Anasema ZNZ sasa inajua haki na inadai haki. Haki ni hii ya kupewa mishahara watu wakicheza bao, haki ni hii ya kuwasha umeme wasiolipia, haki ni hii ya kupewa bilioni zisizojulikana ni za nini?
Ukimsoma huyu bwana Mtumbatu, halafu uksaoma maoni ya Ahmed Rajabu utajua MZNZ ni mtu wa aina na kiwango gani.
Haya yapo mwisho, Hotuba ya Tundu Lissu imeeleza vizuri tu, sisi tuna kazi moja tu, kuuleza umma kuwa hatuna sababu za kuwa na ZNZ, hatufaidi chochote wala lolote, sasa ni wakati wa kusema LET ZNZ GO!
Akina Lisu wametusikia na wanatuelewa, najua Nape na akina Kigwangalla wote wataona udhalimu huu, nao uzalendo wa nchi yao utasimama. Bila kufanya jambo hawa WZNZ wataomba tuwapeleke makopo ya maji uani!
Hakuna Mkataba
Hakuna serikali 3
Tukautane EAC, LET ZNZ GO!
Mkuu Joka Kuu ukisoma watu kama hawa unaweza kujua tumeungana na watu wa aina gani.
Mtumbatu kwa taarifa naona wewe ni mgeni hapa jamvini lakini tutakupa elimu ili ukirudi Mzalendo.net uwaeleze.
Tumesahasema Tanganyika ikirudi pesa za bure kama hizo bilioni 32 hazitapatikana. Unaposema unachukua chako ni kipi hicho maana unachangia sifuri (zero) sasa unachukua kipi ? Lakini si hicho tu, mishahara ya Wabunge, Wawakilishi na Viongozi wote inatoka hazina Dar es Salaam, kwahiyo mnachukua cha kutosha na zaidi wala si chenu.
Unajua Zanzibar ni nchi isiyo na jeshi wala polisi. Sasa unaposema Tanganyika inawahitaji, ni kwa lipi? Si unajaua Rais anachaguliwa Dodoma, na anapelelekwa na Polisi na kulindwa na jeshi lisilo za Znz, sasa mpini upi mumekamata.
Salimin Amour alijaribu, baada ya hapo imebaki hadithi na tunasikia akienda India tu! Muulize Raza ilikuwaje!
Anyway, Mkuu Joka kuu ukisoma Raia mwema utakutana na habari ya yule msemaji wa Wapemba na Sultani, Ahmed Rajabu. Anasema ZNZ sasa inajua haki na inadai haki. Haki ni hii ya kupewa mishahara watu wakicheza bao, haki ni hii ya kuwasha umeme wasiolipia, haki ni hii ya kupewa bilioni zisizojulikana ni za nini?
Ukimsoma huyu bwana Mtumbatu, halafu uksaoma maoni ya Ahmed Rajabu utajua MZNZ ni mtu wa aina na kiwango gani.
Haya yapo mwisho, Hotuba ya Tundu Lissu imeeleza vizuri tu, sisi tuna kazi moja tu, kuuleza umma kuwa hatuna sababu za kuwa na ZNZ, hatufaidi chochote wala lolote, sasa ni wakati wa kusema LET ZNZ GO!
Akina Lisu wametusikia na wanatuelewa, najua Nape na akina Kigwangalla wote wataona udhalimu huu, nao uzalendo wa nchi yao utasimama. Bila kufanya jambo hawa WZNZ wataomba tuwapeleke makopo ya maji uani!
Hakuna Mkataba
Hakuna serikali 3
Tukautane EAC, LET ZNZ GO!
FIFA, WBO, OLYMPIC n.k. LET ZNZ GO! ASAPha hah hah, naona sasa uko pamoja na wana wa Uamsho...tukutane sio EAC , mimi naona tukutane UN, Kila mmoja akiwa na kiti chake..
hakuna kunyonya hapa tunachukua kilicho chetu katika muungano tatizo lenu watanganyika hamjui lipi la muungano lipi si la muungano na kwa ujinga wenu kuingiza yenu yote katika muungano, madhali mmeingiza yote katika muungano yote yetu sote, hapa tunachukua chetu sawa? hamtaki rudisheni Tanganyika yenu? tuanze upya na madeni yote ya kwenu maana nyie ndio mlio kopo kwa wazungu sisi tulisimama kwa miguu yetu muda wote.
tutabakiza muungano kwa kuwa tumezaa na dada zenu la sivyo mikufutuka kurudusha Tanganyika tungesema basi, nahata hivyo tuone hiyo MoU ya kurudishwa tanganyika maana tuna turufu siku hizi kama haina maslhi na sisi tanganyika hairudi, unabisha jaribuni kulianzisha mtaona nini tutawalipa, nyie hamna ujanja kwetu sisi ndio tuna mpini kwenye muungano maana hatukuingia kichwa kichwa na hatuwahitaji, nini nyinyi ndio mnatuhitaji sisi ndio mmekuwa ng'ang'anizi kama dada powa.
Kwani uamsho wanasemaje nao?
Bila shaka makutano yetu ni UN wala sio EAC sisi tutaungana na visiwa vengine - The indian Ocean alliance. hahahahahh, hiyo EAc KAENI NAYO MAANA WOTE NI WEZI WAKUBWA.
Mh!!kuna ukweli hapa......!!Naanza kufumbuka ubongo!mwenzako wanamwandaa kwa 2015