"Wapo watakaosema tunaua demokrasia ndani ya chama, demokrasia ni maridhiano tukishakubaliana ndani ya chama, wewe endelea na mambo yako kwenye chama chako,” -Dk Bashiru Ally, Katibu Mkuu CCM.
"Kuna watu watasema nampigia kampeni (Magufuli) hapana, yeyote na aje ila ajue kwamba kiti kimekaliwa na aliyekalia ameenea. Ole wake mtu anayetaka mlango wa nyuma, hatutaki fujo kwenye chama chetu tunataka utulivu."
Ameyasema hayo leo akiwa kwenye ziara Mwanza CCM Kirumba.
"Kuna watu watasema nampigia kampeni (Magufuli) hapana, yeyote na aje ila ajue kwamba kiti kimekaliwa na aliyekalia ameenea. Ole wake mtu anayetaka mlango wa nyuma, hatutaki fujo kwenye chama chetu tunataka utulivu."
Ameyasema hayo leo akiwa kwenye ziara Mwanza CCM Kirumba.