Dr. Bashiru: CCM itashinda kwa kishindo


CCM wasomewe Albadiri mapema kwa faulu wanazowafanyia wapinzani huko mikoani wilayani
 
Tangu awamu ya pili hakujawahi kuwa na CCM dhaifu kama hii.
Wakijiandaa kusherehekea kwa ushindi wa kishindo, Kwa mwendelezo huu wa dhuluma, natamani wananchi waanze kampeni kuzodoa kijani mtaani, sauti ya umma ina nguvu kubwa sana.
Ujinga mikutano rasimi ya kiserikali mkuu wa nchi, kijani mavazi na salamu za kichama as if kikao cha chama.
Zomea zodoa kijani mpaka pale haki na katiba ya nchi ikiheshimiwa.
 
Huo ni ukweli usiopingika.
Na hakuna sare za kugawa kila mwanachama ajinunulie yake
 
Wajingaa sana nyie bila aibu mnaingia ulingoni na watu mliowafunga vitambaa usoni na vizingiti kibao, kisha mnajisifu

Ruling part differs from opposition party campaigns
 
Hivi mtoto wake k'm hua anajisikiaje baba ake anavopelekeshwa jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…