Dr. Bashiru: CCM itashinda kwa kishindo

CCM jiamini tu Toa fomu mshindane na upinzani kwa hoja
 
Niwatafsilie hapo, Nyani msiotahiliwa kutoka mtaa wa lumumba, na maoni yenu ya kijuha!! Poleni sana.
[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji52]huyu ananitisha anafikiria ataniweza
 
Ccm inashindana na nani?
 
Ukiwa unakimbia peke yako lazima ushinde. Mmezuia wenzenu kufanya siasa mnafanya ninyi tu kwanini msishinde na ninyi ndio mnaosimamia uchaguzi na kutajitangaza washindi
 
Kwa staili hii ya watendaji kukimbia ofisi zao ili wasiwape fomu wagombea Wa upinzani, kwa staili hii ya wagombea Wa upinzani waliobahatika kuchukua fomu kulundikwa ndani kwa amri za wakuu Wa wilaya, kwa staili hii ya jeshi LA polis kukamata wagombea Wa upinzani, ccm itashinda kwa 99%
 
Hawa watakuwa wanashindana na maluweluwe siyo bure, kwa mtu mwenye akili timamu hawezi akashinda kwa kishindo kwa kushindana na wapinzani ambao hata fomu za uchaguzi wamenyimwa, wanapokwenda kuchukua fomu wanaishia mikononi mwapolisi na kupelekwa jela, waliofanikiwa kupewa fomu wanapozirudisha fomu zinachanwa, labda kama watashinda kwa kishindo kwa kuwafunga wapinzani hapo atakuwa sahihi.
 
Hii nchi ni yetu wote.acha tusubiri Olympic ya nchi za waongo na wanafiki pengine tutaambulia medali.
 
Subiria mbwembwe za kina polepole, utasikia ccm imepita kwa kishindoooooo, tena bila kupingwa.Kiukweli ccm ni mashetan
 
NDUMBA TUPU ZIMEJAA HAPO
 
He is very right.

Maana kwa sasa upinzani haupo.
Acha kuvuta Bangi kisha kujidanganya, upinzani ungekuwa haupo mngehangaika kuwanyima form? Kuwapiga mapanga kuwakata kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwapora ushindi kwenye chaguzi mbalimbali
 

Kura hewa uchakachuaji labda lakini kwa kura za wapiga kura ni vigumu CCM wapate ushindi, hakuna mpiga kura mwenye Akili timamu ataipigia CCM kura yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…