Dr Bashiru Ally: Demokrasia siyo wingi wa vyama

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,965
141,971
Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema kuimarika kwa demokrasia siyo lazima kuwe na vyama vingi na amotolea mfano wa Cameroon ambayo ina zaidi ya vyama 300 vya siasa. Dr Bashiru anasema Waitara na Kalanga wamepitishwa kugombea kwa sababu walikosa wapinzani katika majimbo yao na si kwamba wamependelewa.

Chanzo: Clouds 360!
 
Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema kuimarika kwa demokrasia siyo lazima kuwe na vyama vingi na amotolea mfano wa Cameroon ambayo ina zaidi ya vyama 300 vya siasa. Dr Bashiru anasema Waitara na Kalanga wamepitishwa kugombea kwa sababu walikosa wapinzani katika majimbo yao na si kwamba wamependelewa. Source Clouds 360!
Akili za wasomi uchwara waanangalia matumbo yao tu
 
huwaga naheshimu PhD halali za sayansi na field zingine lakini sio PhD hizi za siasa za akina mkumbo na huyu bashiru
 
Hao wanaojifanya kupigania Demokrasia hawaendani Na neno Demokrasia

Tangu wawe wenyeviti kwenye Vyama vyao hawajawahi kushindanishwa Na Yeyote
 
Waitara jana alisema katika jimbo la ukonga waliochukua form za kugombea ubunge ni watatu.katibu wa chama anasema aliyechukua form ni Waitara peke yake.nishike lipi?
 
Inasikitisha kuona tumbo linavyoongoza akili hata za wasomi tulokuwa tukiwathamini na kuwasikiliza.
Shetani ameshika hatamu.
Ivi Chadema ilikua ninjaa iliyo fanya kumpitisha Lowasa wakati alikatwa jina akitokea CCM? Waachen wanasiasa wafanye Siasa.
 
CCM eleweni kuwa hao wabeba bunduki na mabomu mnaowategemea kuua upinzani nao ni binadamu na wana utashi wao kuna siku kibao kitageuka.
 
Back
Top Bottom