Dr. Bana: Takwimu za tume ya Warioba sio za kisayansi

Cheki unavyojikanyaga siku zote hamna jema uongo kwenu ndiyo dili ukweli ni sumu kwenu mnakazi kweli.

Umebaki na kelele hoja zimekuishia pole sana wapiga kelele hahaha...!
 
Dr Bana akiwa anahojiwa kwenye kipindi cha Hot Mix EATV amesema twakimu za tume ya jaji warioba sio za kisayansi na zisitumike kuafanya majumhisho ni kama za kipima joto cha ITV pia ameendelea kusema kuwa hata waliokuwa wakiziandika watakuwa walikosea kwa sababu hawakuchukuwa sampuli.

kwa mtu yoyote ambaye ni msomi na anajua nini maana ya tafiti(research),na kama amefuatilia mjadala ule hatapinga ile kauli,ameelezea kisomi na ule ndio ukweli kwa atakaepinga uelewa wake wa research lazima utakuwa mdogo.
 
Hivi Tume ya Katiba ilikuwa inakusanya maoni au inafanya scientific research? Huyo Bana ameangalia hadidu rejea za Tume?
 
Huyo anaitwa Dr Njaa, yeye na tume yake ya kuchakachua utafiti aka REDET mbona hawaji na maoni waliyo kusanya?

Dr Bana akiwa anahojiwa kwenye kipindi cha Hot Mix EATV amesema twakimu za tume ya jaji warioba sio za kisayansi na zisitumike kuafanya majumhisho ni kama za kipima joto cha ITV pia ameendelea kusema kuwa hata waliokuwa wakiziandika watakuwa walikosea kwa sababu hawakuchukuwa sampuli.
 
kwa mtu yoyote ambaye ni msomi na anajua nini maana ya tafiti(research),na kama amefuatilia mjadala ule hatapinga ile kauli,ameelezea kisomi na ule ndio ukweli kwa atakaepinga uelewa wake wa research lazima utakuwa mdogo.

Ila siku zote bana amekuwa haongei kitaaluma anaongea ki kada zaidi na kama hili utanibishia ndugu pia mimi hizo tafti zake nitazikataa pia.
 
Uzuri wa dk bana husema ukweli hata kama ni mchungu kiasi gani yeye huusema tu.


Leo ndio amelijua hilo mbona kabla ya JK kuhutubia alikuwa kimya hawa wasomi wanaipeleka nchi kubaya.Baada JK kukosoa wote wanajifanya kukosoa,kwanini awakufanya hivyo kabla?kwahiyo walisubri waone Jk kaelemea upande gani hili nao watoe comments zao?
 
Kuleta vurugu na kuchochea machafuko kwa kutumiwa na nchi za magharibi.

Nilijuwa najenga hoja na mtu timamu kumbe mwenzangu kishawaka sio mbaya lakini ndio msimu huu
 
Takwimu zinaonesha kuwa watz 14,000,000. Hawajui kusoma na kuandika.

Na mimi naongeza kuwa watz 20,000,000.hawamjui adui wa maendeleo yao.
 
Watanzania hawamjui hata huyo Docta anayebana. Kabana kuunga mkono waume zake hatimaye kaachia. Achaneni nae huyo Dr. Uchwara. Tumeishazoea pumba zake. Hana kitu kichwani. Alipata bahati tu ya kuitwa Docta. Asitake kudanganya watanzania kwamba yeye anajua nchi hii zaidi ya Jaji Warioba. Kama ameshindwa kufundisha arudi kijijini akalime ili watu wa mjini wale. anatupotezea muda huyo mkuda.
 
Huyu mzee mbona hakubisha matokeo ya uchaguzi mkuu wa urais kwa mshindi kuchaguliwa na watu milioni 5 tu badala ya hata nusu ya umma wote wa watu milioni takriban 45!
 
Umebaki na kelele hoja zimekuishia pole sana wapiga kelele hahaha...!
Ukweli daima utawatesa sana chama chenu bana kasema ni chama cha kianaharakati hamna jipya bavicha kwisha habari yenu.
 
Leo ndio amelijua hilo mbona kabla ya JK kuhutubia alikuwa kimya hawa wasomi wanaipeleka nchi kubaya.Baada JK kukosoa wote wanajifanya kukosoa,kwanini awakufanya hivyo kabla?kwahiyo walisubri waone Jk kaelemea upande gani hili nao watoe comments zao?
Mkuu kila jambo na wakati huwezi kumpangia aseme lini na wapi huu ndiyo wakati wake murua tulia awape za uso mkuu.
 
Back
Top Bottom